Kapepo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,066
- 1,194
MSAADA KISAIKOLOJIA NINAANGAMIA
Habari wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale. Sijui hata nianzie wapi muweze kunielewa. Mimi ni kijana umri 26 muhitimu wa chuo kikuu kwa sasa nipo tu nyumbani sina ishu ya kufanya zaidi ya kulala tu ndani na kuishia kujilaumu sana kwa yaliyopita. Mnamo mwaka 2015 nilibahatika kupata mwenza kipind bado nasoma chuo ila kwa upande mwengine niliweza kuweka rehani maisha yangu kwani huyu mwenza wangu alikuwa anasumbulia na maradh ya ini pamoja na HIV. Sikupenda kumtenga nilijotoa kwa kila hari lakin mwisho wa siku niliambulia kibuti baada ya kuachana mwaka 2017 December ndipo nlipoingia kwenye matatizo makubwa sana kwani mitandao pia ilichangia kwa kiasi kikubwa sana kuniweka kwenye mawazo pale nilipokuja kugundua kwamba ugonjwa wa ini unaambukizwa hata kwa njia ya mate ndipo nlipokuwa na wasiwasi kila siku kwa kuhisi nimepata maambukizi lakini nilipopima mara mbili January na April sikuweza kukutwa na hayo maambukizi kwakweli bado nilikua na wasiwasi zaidi kwan kwa huu mwaka pekeyake nimepima HIV zaidi ya mara 10 lakini sikupata maambukizi. Kwa upande mwengine wa maisha yangu nkajikuta nimeingia kwenye mchezo mbaya sana ambao nimejitahidi sana kuacha lakin nashindwa mchezo wa PUNYETO kwani nimekuwa teja aliyekubuu. Hivi karibuni nilipata mwenzangu mwengine mnamo March 2018 turishiriki ngono kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe nilijikuta nafanya oral sex na huyu binti mnamo April 2018 ntaanza kuona kama kuna mabadiriko kwenye kinywa changu pamoja na kuchoka mara kwa mara, tumbo kujaa gesi maumivu ya tumbo upande wa kulia karibu na mbavu, choo cheusi, tumbo kuunguruma, shingo kuuma kwa mbali katika hiyo hari nimefanya vipimo kama mkojo, choo kikubwa na full blood count lakini kwenye full blood count nimeenda hospital mbili tofauti wote wakidai nina bacteria infection na kuanza kutumia dawa za antibiotics lakn dariri ziko palepale huku nikiendelea na mchezo huu wa PUNYETO. Nikijaribu kugoogle nakutana na vitu ambavyo vinatisha mno nashindwa ambavyo ndivyo vimenipelekea mm kuwa mtu wa mawazo yasiyokuwa na mwisho. Ukigoogle utaambiwa cancer, ulcers, hepatitis, figo na magonjwa mengine makubwa makubwa kwakwel nateseka na msongo najihisi naumwa magonjwa yote haya kwani sina raha kabisa nimekuwa mtu wa kujifungia ndani na kujilaumu sana kwa niliyopitia. Naombeni ushauri wenu wa kuu kwan najiona kama nakufa kesho hivi
Habari wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale. Sijui hata nianzie wapi muweze kunielewa. Mimi ni kijana umri 26 muhitimu wa chuo kikuu kwa sasa nipo tu nyumbani sina ishu ya kufanya zaidi ya kulala tu ndani na kuishia kujilaumu sana kwa yaliyopita. Mnamo mwaka 2015 nilibahatika kupata mwenza kipind bado nasoma chuo ila kwa upande mwengine niliweza kuweka rehani maisha yangu kwani huyu mwenza wangu alikuwa anasumbulia na maradh ya ini pamoja na HIV. Sikupenda kumtenga nilijotoa kwa kila hari lakin mwisho wa siku niliambulia kibuti baada ya kuachana mwaka 2017 December ndipo nlipoingia kwenye matatizo makubwa sana kwani mitandao pia ilichangia kwa kiasi kikubwa sana kuniweka kwenye mawazo pale nilipokuja kugundua kwamba ugonjwa wa ini unaambukizwa hata kwa njia ya mate ndipo nlipokuwa na wasiwasi kila siku kwa kuhisi nimepata maambukizi lakini nilipopima mara mbili January na April sikuweza kukutwa na hayo maambukizi kwakweli bado nilikua na wasiwasi zaidi kwan kwa huu mwaka pekeyake nimepima HIV zaidi ya mara 10 lakini sikupata maambukizi. Kwa upande mwengine wa maisha yangu nkajikuta nimeingia kwenye mchezo mbaya sana ambao nimejitahidi sana kuacha lakin nashindwa mchezo wa PUNYETO kwani nimekuwa teja aliyekubuu. Hivi karibuni nilipata mwenzangu mwengine mnamo March 2018 turishiriki ngono kwa mara ya kwanza tangu nizaliwe nilijikuta nafanya oral sex na huyu binti mnamo April 2018 ntaanza kuona kama kuna mabadiriko kwenye kinywa changu pamoja na kuchoka mara kwa mara, tumbo kujaa gesi maumivu ya tumbo upande wa kulia karibu na mbavu, choo cheusi, tumbo kuunguruma, shingo kuuma kwa mbali katika hiyo hari nimefanya vipimo kama mkojo, choo kikubwa na full blood count lakini kwenye full blood count nimeenda hospital mbili tofauti wote wakidai nina bacteria infection na kuanza kutumia dawa za antibiotics lakn dariri ziko palepale huku nikiendelea na mchezo huu wa PUNYETO. Nikijaribu kugoogle nakutana na vitu ambavyo vinatisha mno nashindwa ambavyo ndivyo vimenipelekea mm kuwa mtu wa mawazo yasiyokuwa na mwisho. Ukigoogle utaambiwa cancer, ulcers, hepatitis, figo na magonjwa mengine makubwa makubwa kwakwel nateseka na msongo najihisi naumwa magonjwa yote haya kwani sina raha kabisa nimekuwa mtu wa kujifungia ndani na kujilaumu sana kwa niliyopitia. Naombeni ushauri wenu wa kuu kwan najiona kama nakufa kesho hivi