Msaada, KITAMBI changu kimegoma kutoka licha ya mazoezi makali.

hapo mkuu sukari ya kwenye hayo majuice ndo mchawi wako, ucitumie kitu chochote chenye sukari maana sukari ndo inayoleta hzo belly fat,
mbali na kukimbia hakikisha unapiga mazoezi ya tumbo ili ukaze misuli ya tumbo fanya hvyo mara tano kwa week ndan ya mwezi mmja ktambi chote kwisha.
tumia asali kama mbadala wa sukari
 
Acha kunywa maji ya baridi,kikiendelea kugoma.Subiri upate stress kama za madeni yani kopa hata milioni 20 bank alafu ushindwe kulipa utakuja Ku IPA mrejesho kama bado kimegoma
 
Fanya mazoezi ya kata tumbo au nunua Lola ya mazoezi within 2 week utaona mabadiliko mzee nenda kwawauza vifaa vya mazoezi nunua Lola
 
Dawa ni moja tu ndugu. punguza kula sana. Na ule mlo kamili, kiasi muafaka. Na unywe maji ya kutosha.

Na kipindi hiki cha Kwaresma ukifunga siku 33 zilizobaki kitapungua sana kitambi chako.

Jaribu utaona matokeo chanya kabisa
 
Watu tunataka vitambi vitusaidie wakati wa kuomba mikopo bank we unawaza kukipunguza shame on you
 
Kwa wale ambao kula ni starehe kwao ni mtihani sana kukabili kitambi
 
Mara ya mwisho kutumia dawa ya minyoo ni lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…