Mchemiaa
Senior Member
- Jan 7, 2018
- 174
- 189
hapo mkuu sukari ya kwenye hayo majuice ndo mchawi wako, ucitumie kitu chochote chenye sukari maana sukari ndo inayoleta hzo belly fat,
mbali na kukimbia hakikisha unapiga mazoezi ya tumbo ili ukaze misuli ya tumbo fanya hvyo mara tano kwa week ndan ya mwezi mmja ktambi chote kwisha.
tumia asali kama mbadala wa sukari
mbali na kukimbia hakikisha unapiga mazoezi ya tumbo ili ukaze misuli ya tumbo fanya hvyo mara tano kwa week ndan ya mwezi mmja ktambi chote kwisha.
tumia asali kama mbadala wa sukari