Msaada: Kozi ipi inafaa kwa Certificate kwa matokeo haya?

Msaada: Kozi ipi inafaa kwa Certificate kwa matokeo haya?

Wewe kasome Business Administration dogo.

Hizi D tatu zimeshaharibu kabisa sekta ya afya. Tuna manesi na matabibu hawawezi hata kuchoma sindano wala kuelewa maelekezo ya madaktari. Wanatutesa sana.
 
Wewe kasome Business Administration dogo.

Hizi D tatu zimeshaharibu kabisa sekta ya afya. Tuna manesi na matabibu hawawezi hata kuchoma sindano wala kuelewa maelekezo ya madaktari. Wanatutesa sana.
Kwani wapo kwa ajili ya maelekezo ya madaktari?
 
Back
Top Bottom