Optimistic_
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 2,347
- 1,850
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tatizo jamaa hataki kusema yupo wapi, kama vile anahisi ataibiwa kiwanja chake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tatizo jamaa hataki kusema yupo wapi, kama vile anahisi ataibiwa kiwanja chake
Laki8???Ni kweli mkuu inasikitisha ila maisha ni magumu kuliko kuwa iddle bora hata upate kidogo japo kwa jasho jingi.
Natarajia kujenga nyumba ya vyumba 3 yenye square miter 95 kwa sh.800,000 tuu.
Ni pm bwana ncha Kali tuyajengeUsimsikilize huyu, yeye ni kampuni na anao wateja wake…. sisi huku msingi laki 3, boma laki 5, kuezeka laki 4, plasta laki 3.
Kikubwa uhai tu.
Alikujengea kwa kias gani kila tofali ?Sikutegemea kama hii mada inaendelea hata hivyo nilishamalizana naye na uzuri alikuwa smart sana
Mmi kuna fundi tumekubaliana 3M ujenzi niko Dom. Kanilalia au fair?Laki8???
Fair kabisa fundi mzuri anye jua kujenga kwa vipimo mara nyingi wapo kwenye makampuni kama Estim n.k ili kumtoa aje akujengee ni gharama maanq wao wana fuata kanuni zote za ujenz nyumba kila mtu ana itamaniMmi kuna fundi tumekubaliana 3M ujenzi niko Dom. Kanilalia au fair?
Kiufupi jitahidi gharama za ufundi zisizidi 15% mpaka 20% ya gharama za material. Ukishapiga hesabu zako za material ktk hatua flani ya ujenzi, tafuta hiyo asilimia ili wakati unabargain na fundi wako ujue unamvutaje ajae kwenye hiyo range. Kuna mafundi wengine ni wazuri sana ila hesabu zinawasumbua, ukimpa ramani anaingalia weeee, lakini akija kutaja bei unakuta amejitoa mwenyewe kwenye range (<15%) na bado hamjabargainNawasalimu wanajamvi wote,hongereni kwa majukumu ya kujenga taifa. Leo nimekuja kwenu kuomba ushauri ni kipino gani kinatumika kupata bei ya ujenzi wa nyumba?
Nimempata fundi aniinulie boma kuanzia msingi hadi kwenye hatua ya lenta,mahesabu yake aliyopiga ni shs 500 KWA tofari moja gharama itahusu pia kuchimba msimgi na gharama ya kumwaga zege la beam.
Je, wewe ulitumia njia gani kupataa gharama ya ujenzi? Nitashukuru sana lwa mchango wenu wa mawazo.
Baada ya kupiga mahesabu jumla imefika milioni laki saba.
Huku wanajenga kwa mil.2.35 full kukopanaUnashangaa kuna mafundi wanachukua tenda ya kujenga darasa kuanzia msingi mpaka finishing kwa3M.
Mmi kuna fundi tumekubaliana 3M ujenzi niko Dom. Kanilalia au fair?
Sawa sawaUkifikia hatua ya finishing karibu mkuu call /WhatsApp 0757735884 Instagram highland _decor_solution
Mkuu nipe namba ya fundi wakoKwa nyumba ya vyumba vitatu kwa jinsi alivyo nidadafulia ,
Ukuta unakula tofali80 piga*4=320 tofali kwa kila chumba mara vyumba vitatu jumla tofali 960 bado sebule otherwise isiwe kama haina sebule ila kama inasebule maximamu tofali 1500 *500 ya fundi= jumlisha beam iyo out of tofali beam ina gharma zake.
Then atapandisha course mbili juu y beam matofali kama 200 nyumba nzima hapo msingi sijaweka so gharma za ujenzi wa msingi matofali 800 *500 + 1700*500+beam utapata jibu Ila kama
Nina fundi wangu kazi zake nazikubali mno mno na ktk kuelewana nae ni muelewa sio mtu wa kulalia kama utakua okey nikupe namba zake ntamdirect kwako for sure nahis nyumba itakamilika hadi kupaua kama utakua upo njema
Sasa mnataka mthaminiwe kwa lipi la maana mnalolifanya?NI TANZANIA PEKEE AMBAPO SISI MAFUNDI UJENZI HATUTHAMINIKI.
😀😀😀😀Usimsikilize huyu, yeye ni kampuni na anao wateja wake…. sisi huku msingi laki 3, boma laki 5, kuezeka laki 4, plasta laki 3.
Kikubwa uhai tu.