Msaada kuhusu gharama za fundi kujenga nyumba ya vyumba vitatu kuanzia msingi hadi kwenye beam

Msaada kuhusu gharama za fundi kujenga nyumba ya vyumba vitatu kuanzia msingi hadi kwenye beam

Mmi kuna fundi tumekubaliana 3M ujenzi niko Dom. Kanilalia au fair?
Fair kabisa fundi mzuri anye jua kujenga kwa vipimo mara nyingi wapo kwenye makampuni kama Estim n.k ili kumtoa aje akujengee ni gharama maanq wao wana fuata kanuni zote za ujenz nyumba kila mtu ana itamani
 
Nawasalimu wanajamvi wote,hongereni kwa majukumu ya kujenga taifa. Leo nimekuja kwenu kuomba ushauri ni kipino gani kinatumika kupata bei ya ujenzi wa nyumba?

Nimempata fundi aniinulie boma kuanzia msingi hadi kwenye hatua ya lenta,mahesabu yake aliyopiga ni shs 500 KWA tofari moja gharama itahusu pia kuchimba msimgi na gharama ya kumwaga zege la beam.

Je, wewe ulitumia njia gani kupataa gharama ya ujenzi? Nitashukuru sana lwa mchango wenu wa mawazo.

Baada ya kupiga mahesabu jumla imefika milioni laki saba.
Kiufupi jitahidi gharama za ufundi zisizidi 15% mpaka 20% ya gharama za material. Ukishapiga hesabu zako za material ktk hatua flani ya ujenzi, tafuta hiyo asilimia ili wakati unabargain na fundi wako ujue unamvutaje ajae kwenye hiyo range. Kuna mafundi wengine ni wazuri sana ila hesabu zinawasumbua, ukimpa ramani anaingalia weeee, lakini akija kutaja bei unakuta amejitoa mwenyewe kwenye range (<15%) na bado hamjabargain
 
Kwa nyumba ya vyumba vitatu kwa jinsi alivyo nidadafulia ,

Ukuta unakula tofali80 piga*4=320 tofali kwa kila chumba mara vyumba vitatu jumla tofali 960 bado sebule otherwise isiwe kama haina sebule ila kama inasebule maximamu tofali 1500 *500 ya fundi= jumlisha beam iyo out of tofali beam ina gharma zake.

Then atapandisha course mbili juu y beam matofali kama 200 nyumba nzima hapo msingi sijaweka so gharma za ujenzi wa msingi matofali 800 *500 + 1700*500+beam utapata jibu Ila kama

Nina fundi wangu kazi zake nazikubali mno mno na ktk kuelewana nae ni muelewa sio mtu wa kulalia kama utakua okey nikupe namba zake ntamdirect kwako for sure nahis nyumba itakamilika hadi kupaua kama utakua upo njema
Mkuu nipe namba ya fundi wako

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
NI TANZANIA PEKEE AMBAPO SISI MAFUNDI UJENZI HATUTHAMINIKI.
Sasa mnataka mthaminiwe kwa lipi la maana mnalolifanya?
Mnashindwa hata namna ya kunadi fani zenu? Mngekua na tabia ya kutenga muda kwa ajili kuelimisha watu umuhimu wa kujenga kutumia mafundi ili jamii ihamasike hapo mngethaminika.
Kama hapa, badala ya kutumia fursa ya kutoa elimu na kujitangaza, wewe unaleta malalamiko.
Mkipewa kazi, badala ya kuifanya kwa uaminifu, either mnaanza udokozi au mnajenga chini ya viwango. Mkikutana wala hamuonyana wala kukemeana kwa tabia hizo za hovyo, badala yake mnapeana mbinu zaidi za kufanya wizi.
Kama nyumba zingekua zinafyatuliwa viwandani, hakuna ambaye angehangaika na mafundi.
 
Back
Top Bottom