GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Salaam wakuu.
Naomba kusaidiwa na yeyote humu ambaye ni mzoefu wa kusafirisha percel kutoka Marekani kuja Tanzania, kwa kutumia makampuni kama DHL na mengineyo hasa napenda kufahamu gharama za kusafirisha simu, ziko mbili kutoka Ohio Cleaveland kuja Tanzania ina gharimu kiasi gani KWA uzoefu wako wa kusafirisha mizigo.
Pili, je unaweza kusafirisha Document bahasha Moja yenye karatasi 10, ukaichanganya na hizo simu 2 zikaja KWA pamoja?
Nauliza hivi maana wiki iliyopita nimetuma document huko huko zimefika jana, gharama tuliyotumia ni sh 138,000 KWA kutumia DHL...sasa nashangaa mtu niliyemtumia anasema eti kutuma hizo simu 2 KWA DHL ni dola 200! Na haiwezekani kutuma document na simu pamoja.
Naomba msaada KWA yeyote anayejua maana hata tulivyotuma document baada ya kuingiza data za mzigo kwenye system ya DHL walituonyesha bei sasa wewe ndio unachagua rahisi kwako...nashangaa hiyo dola 200 ni kweli kwa simu mbili?
Naomba kusaidiwa na yeyote humu ambaye ni mzoefu wa kusafirisha percel kutoka Marekani kuja Tanzania, kwa kutumia makampuni kama DHL na mengineyo hasa napenda kufahamu gharama za kusafirisha simu, ziko mbili kutoka Ohio Cleaveland kuja Tanzania ina gharimu kiasi gani KWA uzoefu wako wa kusafirisha mizigo.
Pili, je unaweza kusafirisha Document bahasha Moja yenye karatasi 10, ukaichanganya na hizo simu 2 zikaja KWA pamoja?
Nauliza hivi maana wiki iliyopita nimetuma document huko huko zimefika jana, gharama tuliyotumia ni sh 138,000 KWA kutumia DHL...sasa nashangaa mtu niliyemtumia anasema eti kutuma hizo simu 2 KWA DHL ni dola 200! Na haiwezekani kutuma document na simu pamoja.
Naomba msaada KWA yeyote anayejua maana hata tulivyotuma document baada ya kuingiza data za mzigo kwenye system ya DHL walituonyesha bei sasa wewe ndio unachagua rahisi kwako...nashangaa hiyo dola 200 ni kweli kwa simu mbili?