Msaada kuhusu kusoma kwa Njia ya Masafa (Distance Learning)

Msaada kuhusu kusoma kwa Njia ya Masafa (Distance Learning)

jukwaa la elimu limekosa wachangiaji ,watu wapo jukwaa la mahusiano na mapenzi



kazi kweli kweli/jobtruetrue
Hatari..sana. ishu ikishakuwa kitaaluma taluma hivi wachangiaji hatusismki nazo. ..mtoa post nadhani chukua mda pia kufanya search mitandaoni na pitia website zao..na pia pitia tofuti ya TCU ili kuona vyuo vya nje vya distance learning. Mtandaoni utapata ila kujua kama ni accredited ni ngumu..
 
Hatari..sana. ishu ikishakuwa kitaaluma taluma hivi wachangiaji hatusismki nazo. ..mtoa post nadhani chukua mda pia kufanya search mitandaoni na pitia website zao..na pia pitia tofuti ya TCU ili kuona vyuo vya nje vya distance learning. Mtandaoni utapata ila kujua kama ni accredited ni ngumu..
Website ya TCU sijaona hiko kitu, vyuo vipo vingi mitandaoni lakini kujua kipi kinatambulika ndio changamoto. Hizi taasisi zote TCU na OUT hata kupokea simu ni changamoto.
 
Wakuu, nipo huku Mtwara ndani ndani,natamani kujiendeleza kielimu ngazi ya degree kwa kozi za Afya.
Naomba mnielekeze chuo kizuri cha nje ya nchi ambacho kinatoa elimu kwa njia ya masafa na kinachotambulika na TCU.

Napokea pia ushauri wa kozi nzuri za Afya ambazo mtu anaweza kusoma kwa njia ya masafa. Kozi iwe nzuri tu sio lazima iwe na soko sababu kazi tayari ninayo.

Mie nilikuwa napendelea Kozi ya Nutrition. Elimu yangu ni Afisa tabibu.

NB: OUT sio option kwangu sababu GPA yangu hainiruhusu kusoma hapo kozi nayotaka. Na sielewi kwanini kozi ya Nutrition imewekewa GPA kubwa hivi.
Bachelor of Public Health, Mount Kenya University, University of Zimbambwe, etc Kozi zingine za afya huwezi soma online
 
CARI VISION STUDY ABROAD UNIVERSITIES LTD
Ni taasisi inayohusika na kuunganisha wanafunzi wanaotaka kujiunga na vyuo mbalimbali nje ya nchi. Iwe online au in campus tunakusaidia.
Call 0677300030
WhatsApp 0677300030
Karibu sana
 
Back
Top Bottom