The BornAgain
JF-Expert Member
- Jun 23, 2024
- 428
- 582
Hatari..sana. ishu ikishakuwa kitaaluma taluma hivi wachangiaji hatusismki nazo. ..mtoa post nadhani chukua mda pia kufanya search mitandaoni na pitia website zao..na pia pitia tofuti ya TCU ili kuona vyuo vya nje vya distance learning. Mtandaoni utapata ila kujua kama ni accredited ni ngumu..jukwaa la elimu limekosa wachangiaji ,watu wapo jukwaa la mahusiano na mapenzi
kazi kweli kweli/jobtruetrue
Website ya TCU sijaona hiko kitu, vyuo vipo vingi mitandaoni lakini kujua kipi kinatambulika ndio changamoto. Hizi taasisi zote TCU na OUT hata kupokea simu ni changamoto.Hatari..sana. ishu ikishakuwa kitaaluma taluma hivi wachangiaji hatusismki nazo. ..mtoa post nadhani chukua mda pia kufanya search mitandaoni na pitia website zao..na pia pitia tofuti ya TCU ili kuona vyuo vya nje vya distance learning. Mtandaoni utapata ila kujua kama ni accredited ni ngumu..
Bachelor of Public Health, Mount Kenya University, University of Zimbambwe, etc Kozi zingine za afya huwezi soma onlineWakuu, nipo huku Mtwara ndani ndani,natamani kujiendeleza kielimu ngazi ya degree kwa kozi za Afya.
Naomba mnielekeze chuo kizuri cha nje ya nchi ambacho kinatoa elimu kwa njia ya masafa na kinachotambulika na TCU.
Napokea pia ushauri wa kozi nzuri za Afya ambazo mtu anaweza kusoma kwa njia ya masafa. Kozi iwe nzuri tu sio lazima iwe na soko sababu kazi tayari ninayo.
Mie nilikuwa napendelea Kozi ya Nutrition. Elimu yangu ni Afisa tabibu.
NB: OUT sio option kwangu sababu GPA yangu hainiruhusu kusoma hapo kozi nayotaka. Na sielewi kwanini kozi ya Nutrition imewekewa GPA kubwa hivi.
Asante sana kaka, hivyo vyuo vinatambulika na TCU?Bachelor of Public Health, Mount Kenya University, University of Zimbambwe, etc Kozi zingine za afya huwezi soma online
Yah vinatambulika na watanzania wengi tu wanasoma hukoAsante sana kaka, hivyo vyuo vinatambulika na TCU?
Nimepitia website zao lakini sijapata page specific ya ninachotafuta, naanzia wapi?Yah vinatambulika na watanzania wengi tu wanasoma huko