X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #201
Inategemea ardhi na njia utakayotumia kumwagilizia....ila kwa udogo wa kichanga...usio tuamisha maji ni bora usiweke matuta kwani utapata shida kunyanyua udongo mara kwa mara...na eneo linalotuamisha maji vile vile ni bora ukachimba matuta....Nilinunua madukani tu najina sikumbuki ntajitahidi kufanya hivyo je kunaulazima kuweka matuta au?