Msaada kuhusu Nikopeshe Microfinance

Hahahahahahaaa!! Ngoja nicheke mm.
 
Bro hiyo hela bora ungebetia mechi za leo, hao jamaa washakupiga anza tu tamasha la kulia mpaka kesho asubuhi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila watu wanna dhambi.
UMELIWAAAA
 
tala mmewabaka.
branch mmewabaka.
nivushe mmewabaka
songesha mmewabaka
timiza mmewabaka
mpawa mmewabaka.

kilichobaki ni kuziwinda apps nyingine zinazoingia town mzibake,but bila kujua kumbe nazo zinawinda waty ziwabake.
 
Wamekuona hauna shida ya mkopo ndo maana wamekuomba hela[emoji23]
 
Hivi uwa mtu unashindwaje kutambua kuwa unapigwa?
Kama mtu anakukopa anakufahamu ana na kwako anapajua bado anasumbuka kulipwa halafu eti upewe mkopo hivi hivi online tu.
Kweli watanzania tunapenda kutapeliwa
We hujawahi kula hela tala na branch?
 
We jamaa! Uko serious kweli? Haihitaji digrii kujua matapeli mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…