mutu murefu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 996
- 2,636
Habari za muda huu wakuu.
Mimi ni kijana wa miaka 24, katika mishemishe za maisha nimefanikiwa kukusanya kiasi fulani cha pesa.
Nina mpango wa kununua gari ndogo isiokula mafuta(maana mi ni mtu wa mishemishe mjini inakua shida bila usafiri). Nimepata wazo ninunue toyota passo. Kilichonivutia hasa ni CC yake ndogo (ninayodhani inakula mafuta kidogo) hivyo nitaweza kutumia pesa kidogo huku niki save pesa nyingine kwenye ujenzi wa nyumba na mambo mengine. Nataka kwa matumizi madogo tu ya mishemishe za kazini na mjini (sina safari ndefu).
Ninaomba wale wenye uzoefu na ujuzi wa hii gari wanieleweshe zaidi maana ninajua na kutambua kuwa JF ni zaidi ya shule.
Naomba kujuzwa mambo haya
- ulaji mafuta
- kudumu kwake
- comfortability
- upatikanaji wa spea zake
Naomba michango ya kujenga sio kejeli na matusi.
[HASHTAG]#Mutu[/HASHTAG] murefu
Mimi ni kijana wa miaka 24, katika mishemishe za maisha nimefanikiwa kukusanya kiasi fulani cha pesa.
Nina mpango wa kununua gari ndogo isiokula mafuta(maana mi ni mtu wa mishemishe mjini inakua shida bila usafiri). Nimepata wazo ninunue toyota passo. Kilichonivutia hasa ni CC yake ndogo (ninayodhani inakula mafuta kidogo) hivyo nitaweza kutumia pesa kidogo huku niki save pesa nyingine kwenye ujenzi wa nyumba na mambo mengine. Nataka kwa matumizi madogo tu ya mishemishe za kazini na mjini (sina safari ndefu).
Ninaomba wale wenye uzoefu na ujuzi wa hii gari wanieleweshe zaidi maana ninajua na kutambua kuwa JF ni zaidi ya shule.
Naomba kujuzwa mambo haya
- ulaji mafuta
- kudumu kwake
- comfortability
- upatikanaji wa spea zake
Naomba michango ya kujenga sio kejeli na matusi.
[HASHTAG]#Mutu[/HASHTAG] murefu