Msaada kuhusu UTI

Msaada kuhusu UTI

Unajua mkuu wakati mwingine hizi khali zinachosha saana, mtu unaenda hospitali nne tofauti wanakwambia ugonjwa mmoja wanakupa dawa hospitali nyingine sindano na dawa lakini unapona tu unapotumia zile dawa ukiacha khali inarudi.

Hali hii inaumiza ukifikiria khali ngumu ya kiuchumi japo afya zetu tunazipenda ndio vile tunajitahidi kwenda hospitali tofauti tofauti.

Lakini nashukuru dawa nilizotumiaa za asili ziMenionesha matokeo fulani walau sasa naweza kusema kwa 90% ugonjwa umeisha nimebaki kusikia maumivu kidogo saana wakati wa mkojo wa kwanza wa asubuhi,

kwakua yule mtu alisema nimuone nikimaliza dozi basi ntakwenda kumuona

All in all nawapenda bure jamii forum hamjawahi niangusha ushauri wenu umenifungua mengii[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Ndugu tupe mrejesho unaendeleaje
 
Fanya hivi nenda hospitali ya rufaa mbeya au ya mkoa uonane na dr ufanyiwe culture/waoteshe mkojo kwenye media ili waone ni bacteria gani ataota wakishaota watatumia hao bacteria kufanya sensitivity test kuangalia ni dawa ipi inaweza kumaliza tatizo hilo na dawa utakayopewa ndio itamaliza tatizo

Kosa
Wewe ulikuwa na dalili za gonococco arthrits ambayo ni ugonjwa wa kisonono(gonnorhea) wakati wanakutibu walikosea kukupa tiba maana ciplo sio rahisi kuondoa tatizo na panadol tuu
Dr wa kwanza kabisa alitakiwa akupe mchanganyiko wa dawa za either
Ciplo7+doxy7+metro5 or sindano spectomycin or powercef 2g stat uendelee na ciplo dox na metr
So kakosea kasababisha wamekuwa sugu sasa fanya culture tuu
Mkuu umechangia Poa ila naomba nikusahihishe kidogo tu.In the dose of 500mg stat..Ciprofloxacin is effective for management of gonnorhea.Ndo maana kwa regimen za kutibu STI kwa kina mama hutolewa nikiwa ni mchanganyiko Wa Doxycline+ metronidazole pamoja na ciprofloxacin.
Ushauri uliompa Wa kufanya culture and sensitivity nimeupenda.
 
TIBA RAHISI YA UTI :
Maji safi ya kunywa glass moja,
Baking Soda (bicarbonate of soda) kijiko kimoja kidogo.
Changanya baking soda kwenye maji glass moja, kunywa asubuhi kabla hujala chochote kwa siku 7.
Thank Me Later!
*NOTE: Tiba hii ni kwa UTI ambayo haijawa sugu.
 
TIBA RAHISI YA UTI :
Maji safi ya kunywa glass moja,
Baking Soda (bicarbonate of soda) kijiko kimoja kidogo.
Changanya baking soda kwenye maji glass moja, kunywa asubuhi kabla hujala chochote kwa siku 7.
Thank Me Later!
*NOTE: Tiba hii ni kwa UTI ambayo haijawa sugu.

mkuu ninaswali hapo hapo...mdogo wangu anamaumivi kwenye njia ya mkojo...wamepima mkojo wanadai upo safi hakuna shida yoyote ila analalamika kua kwenye uume kwa ndani (kwenye njia ya mkojo) ni kma vile kuna vidonda ingawa hatoki damu..hospital wamepima hakuna kitu je tatizo linaweza kua kitu gani saha
 
mkuu ninaswali hapo hapo...mdogo wangu anamaumivi kwenye njia ya mkojo...wamepima mkojo wanadai upo safi hakuna shida yoyote ila analalamika kua kwenye uume kwa ndani (kwenye njia ya mkojo) ni kma vile kuna vidonda ingawa hatoki damu..hospital wamepima hakuna kitu je tatizo linaweza kua kitu gani saha
Hapo kwa kweli sina utaalamu, Subiri wataalamu hapa watakueleza, Ushauri wangu arudi tena kwa daktari wa mambo hayo, nina uhakika solution itapatikana. Hiyo issue ni serious!
 
Hapo kwa kweli sina utaalamu, Subiri wataalamu hapa watakueleza, Ushauri wangu arudi tena kwa daktari wa mambo hayo, nina uhakika solution itapatikana. Hiyo issue ni serious!

Okay...Asante kaka...nami nimemsahuri km ikiwezekana anende hospital nyingine ingawa nakua na wasiwasi kwakua yeye alienda hospital ambayo ni kumbwa ya Kairuki sikutegemea washindwe kupata majibu ya jambo km hilo
 
Okay...Asante kaka...nami nimemsahuri km ikiwezekana anende hospital nyingine ingawa nakua na wasiwasi kwakua yeye alienda hospital ambayo ni kumbwa ya Kairuki sikutegemea washindwe kupata majibu ya jambo km hilo
Ni vizuri kujaribu kwa daktari mwingine! Mimi ni dada! Karibu!
 
Nendeni mkapime VDRL huuenda pia kuna kaswende iko weak pimeni hospital zinazo aminika utajua ila kama una mpezi razima wote mtibiwe hata kama yeye hana dalili lazima atibiwe na uliyewahi tembea nae mwambie atibiwe
 
Nendeni mkapime VDRL huuenda pia kuna kaswende iko weak pimeni hospital zinazo aminika utajua ila kama una mpezi razima wote mtibiwe hata kama yeye hana dalili lazima atibiwe na uliyewahi tembea nae mwambie atibiwe


okay asante kwa ushauri wako...nimemuonyesha ushauri wako na ataufanyia kazi
 
mkuu ninaswali hapo hapo...mdogo wangu anamaumivi kwenye njia ya mkojo...wamepima mkojo wanadai upo safi hakuna shida yoyote ila analalamika kua kwenye uume kwa ndani (kwenye njia ya mkojo) ni kma vile kuna vidonda ingawa hatoki damu..hospital wamepima hakuna kitu je tatizo linaweza kua kitu gani saha
Pima vdrl kwenye damu huenda ni std
 
Pima vdrl kwenye damu huenda ni std


ila kwa maelezo yake ni kwamba walipima damu, wakasema ipo okay, maana walichukua nyingi toka mshipa wa mkononi, na mkojo pia wakaangalia hakukua na kitu ...maybe arudi ili waangalie upya au kwenda kwa doctor mwingine
 
Mnaona mnavyogonga kavukavu madhara yake sasa?

Hapo pimana ngomakabisa ujue hali yako.
 
Katumie Azithromycine kiboko yao. Utaleta mrejesho humu ndani
 
Unajua mkuu wakati mwingine hizi khali zinachosha saana, mtu unaenda hospitali nne tofauti wanakwambia ugonjwa mmoja wanakupa dawa hospitali nyingine sindano na dawa lakini unapona tu unapotumia zile dawa ukiacha khali inarudi.

Hali hii inaumiza ukifikiria khali ngumu ya kiuchumi japo afya zetu tunazipenda ndio vile tunajitahidi kwenda hospitali tofauti tofauti.

Lakini nashukuru dawa nilizotumiaa za asili ziMenionesha matokeo fulani walau sasa naweza kusema kwa 90% ugonjwa umeisha nimebaki kusikia maumivu kidogo saana wakati wa mkojo wa kwanza wa asubuhi,

kwakua yule mtu alisema nimuone nikimaliza dozi basi ntakwenda kumuona

All in all nawapenda bure jamii forum hamjawahi niangusha ushauri wenu umenifungua mengii[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Mara nyingi hizi antibiotics za kiphamasia zinauwa mpaka wale normal flora sasa ndomana unakuta MTU analalamika uti sugu Mara fangasi sugu, natural remedy ndo mpango mzima, hizi dawa ospitali unawwza kumeza mpaka mwili unuke dawa na usipone
 
Mara nyingi hizi antibiotics za kiphamasia zinauwa mpaka wale normal flora sasa ndomana unakuta MTU analalamika uti sugu Mara fangasi sugu, natural remedy ndo mpango mzima, hizi dawa ospitali unawwza kumeza mpaka mwili unuke dawa na usipone
Kweli mkuu tenaa umenikumbusha kitu nilipima pia nikaambiwa nna fangasi na amoeba ngoja nikaitafute dawa ya asili
 
Maana nasikia bado muwasho njia ya haja kubwa afuu ni kama siku za karibuni choo kina harufu kali than normal
 
Maana nasikia bado muwasho njia ya haja kubwa afuu ni kama siku za karibuni choo kina harufu kali than normal
Pole sana mkuu, mtafute huyu muudum anaweza kukusaidia, ila anatumia natural remedy kama utakubaliana Nazo, maana aliwahi kumtibia rafki angu. No yake,0758157247
 
Back
Top Bottom