MSAADA: Kupata muwasho, vijipele hatimaye maumivu makali kwenye kuta za uke mpaka kwenye kinena

MSAADA: Kupata muwasho, vijipele hatimaye maumivu makali kwenye kuta za uke mpaka kwenye kinena

Defence ya mwili wako imeyumba so hapo waweza kwenda hospital watakupima na kukupa dawa au kutafuta wajuzi wa tiba asili wakupe herbs na kanuni za ulaji. Ukihitaji mtaalamu wa mitishamba waweza ni pm.
Na utapona ni jambo la kawaida tu usijali juu ya comment za jokers šŸƒ na negative people, wanao hukumu wenzao.
Fanya maamuzi Sasa usizembe ili tatizo laweza vuka na kwenda juu kwenye mji wa uzazi likaleta madhara mengi kumbuka usemi huu "ukizembea jipu ... "
Sawasawa mkuu Dr Luu , nashukuru sana kwa mchango wako kwangu. Sikuwahi kwenda hospitali yoyote na huu ni uzembe ambao niliufanya.

Humu Jf watoa negatives wapo na hatuwezi kuwazuia maana wako majumbani mwao na simu zao.

Asante sana, nitakutafuta mkuu ili nipate tiba.
 
Weka picha tuone .

Ila hapa utapata ushauri ambao utautumia Kama huduma ya kwanza .

Jaribu kutumia BBE -hii itaondoa muwasho usipake ndani ya UKE unapaka NJE tu .

Pia jaribu kutofanya NGONO 1-3 months maana kuna uwezakono umeambukizwa huo ugonjwa . kwenye kufanya ngono.


Na mwisho fika hosptali baada ya yote .

BBE hata Kwa wanaume wanaowashwa korodani na uume unaweza kupaka .
 
Pole sana,
hiyo ni fungas,


tafuta dawa yoyote ya fangas ya kupaka ndani ya siku mbili au tatu tatizo litakua limeisha ila jitahidi upake walau kwa siku zisizopungua 5 kila baadaa ya kuoga šŸ’
Asante sana mkuu Tlaatlaah kwa kutambua na kuonesha ujali wako kwangu.
Sawa, hapa naelekea hospitali ili nikapate muongozo wote mkuu.
Nashukuru sana.
 
Weka picha tuone .

Ila hapa utapata ushauri ambao utautumia Kama huduma ya kwanza .

Jaribu kutumia BBE -hii itaondoa muwasho usipake ndani ya UKE unapaka NJE tu .

Pia jaribu kutofanya NGONO 1-3 months maana kuna uwezakono umeambukizwa huo ugonjwa . kwenye kufanya ngono.


Na mwisho fika hosptali baada ya yote .

BBE hata Kwa wanaume wanaowashwa korodani na uume unaweza kupaka .
Hivyo vipele hujitokeza nikianza kujikuna.
Sawa DR HAYA LAND kwa muongozo wako.
Hapa ndio naelekea hospital kwa matibabu zaidi.
Nilishawahi tumia BBE mwilini kipindi cha nyuma ile dawa ni kiboko maana mwili mzima ulikuwa una-vibrate kwa ukali wa dawa
 
Asante sana mkuu Mudawote kwa maelekezo yako.
Kwa haya maelezo yako nimejua wapi pa kuanzia.

Na hapa kwenye bidhaa za Latex nadhani ndio chanzo cha yote.
Pia kumuona Dr ndio jambo jema zaidi.

Asante sana, sana.
Na nashukuru kwa kutumia muda wako katika kunitafutia tiba.
Shukrani šŸ™
Ukipona usimsahau Dr Mudawote, hata kidogo tu.
 
Back
Top Bottom