MSAADA: Kupata muwasho, vijipele hatimaye maumivu makali kwenye kuta za uke mpaka kwenye kinena

MSAADA: Kupata muwasho, vijipele hatimaye maumivu makali kwenye kuta za uke mpaka kwenye kinena

Mmh! Miezi mitano.

Haya nenda Hospitali huko ndo kunasuluhisho la uhakika nikimaanisha vipimo na hata Dr kuona hapo penye ugonjwa tofauti na huku ambako wengi watakujibu kihisia.
Sawa mkuu.
Wapo pia Madaktari humu wenye taaluma zao.
Na wapo pia members ambao walipona na wanaendelea kupona kutokana na maelezo ya madaktari wa hapahapa jukwaani.
Sema nini, hospitali ndio suluhisho kuu japo watu wanapona kwa kufuata maelekezo pia.
 
Dalili za Ukimwi hizo, kapime HIV kama miezi 4 ndio dalili zinajitokeza za awali kwa ukali, kapime, kama huna HIV kapime Syphillis or Gono, ziko Gono sugu inahitaji doze kali za sindano kwa wiki kadhaa na vidonge ndio upone.
 
Dalili za Ukimwi hizo, kapime HIV kama miezi 4 ndio dalili zinajitokeza za awali kwa ukali, kapime, kama huna HIV kapime Syphillis or Gono, ziko Gono sugu inahitaji doze kali za sindano kwa wiki kadhaa na vidonge ndio upone.
Asante sana kwa mchango wako, ofisi yetu tuna utaratibu wa kupima kwa hiyari.
Nilishapima na kupima ila hiko unachosema sijapata maambukizi.
Na mara ya mwisho nimepima November 9
 
Habarini Madaktari na wafamasia wa humu Jukwaa la Afya.
Nina changamoto moja imejitokeza ni kama miezi 4 au 5 imepita.

Kwanza nilipata muwasho mkali sana huku ukeni, kisha nikaja ona vipele vidogovidogo vimetokeza.
Ule muwasho nikawa naukuna lakini mwisho wa siku palepale nilipojikuna napata maumivu makali sana.
Yaani muwasho nikijikuna napata maumivu.

Nikienda kukojoa sasa hapo ndipo kasheshe maana ule mkojo ukipita pale kwenye muwasho nahisi kama nachanwa na wembe.

Na sasa hv imefikia hatua mpaka kinembe kinawasha sana, yaani najikuna sana.

Nilikuwa mtumiaji mkubwa wa Condoms hizi za ZANA....je, huenda ndio zimesababisha tatizo?
DR Mambo Jambo
 
Tuone picha
IMG_3341.jpeg
 
Habarini Madaktari na wafamasia wa humu Jukwaa la Afya.
Nina changamoto moja imejitokeza ni kama miezi 4 au 5 imepita.

Kwanza nilipata muwasho mkali sana huku ukeni, kisha nikaja ona vipele vidogovidogo vimetokeza.
Ule muwasho nikawa naukuna lakini mwisho wa siku palepale nilipojikuna napata maumivu makali sana.
Yaani muwasho nikijikuna napata maumivu.

Nikienda kukojoa sasa hapo ndipo kasheshe maana ule mkojo ukipita pale kwenye muwasho nahisi kama nachanwa na wembe.

Na sasa hv imefikia hatua mpaka kinembe kinawasha sana, yaani najikuna sana.

Nilikuwa mtumiaji mkubwa wa Condoms hizi za ZANA....je, huenda ndio zimesababisha tatizo?
Pole sana mkuu. Umemuona daktari yeye amesemaje? Umepima UTI sugu?
 
Back
Top Bottom