Sawa mkuu.Mmh! Miezi mitano.
Haya nenda Hospitali huko ndo kunasuluhisho la uhakika nikimaanisha vipimo na hata Dr kuona hapo penye ugonjwa tofauti na huku ambako wengi watakujibu kihisia.
Pole sana ukatibiwe na uponeSawa ndio najiandaa ili niende mkuu
Asante sana mkuu Half american , ndio naelekea hukoPole sana ukatibiwe na upone
Asante sana kwa mchango wako, ofisi yetu tuna utaratibu wa kupima kwa hiyari.Dalili za Ukimwi hizo, kapime HIV kama miezi 4 ndio dalili zinajitokeza za awali kwa ukali, kapime, kama huna HIV kapime Syphillis or Gono, ziko Gono sugu inahitaji doze kali za sindano kwa wiki kadhaa na vidonge ndio upone.
Tafadhali tunaomba tupewe elimu juu ya hili3. Epuka Bidhaa za Latex
• Jaribu kondomu zisizo na latex ikiwa unadhani mzio ndio tatizo.
Sawa NoncChalant nimekuelewa vyema, na nashukuru sana na ushauri wako.Ongozana na mpenzi wako hospitalini ....unaweza kutibu fungus ikapona kumbe unapoitolea ni kwa mpenzi wako mkijamiana
DR Mambo JamboHabarini Madaktari na wafamasia wa humu Jukwaa la Afya.
Nina changamoto moja imejitokeza ni kama miezi 4 au 5 imepita.
Kwanza nilipata muwasho mkali sana huku ukeni, kisha nikaja ona vipele vidogovidogo vimetokeza.
Ule muwasho nikawa naukuna lakini mwisho wa siku palepale nilipojikuna napata maumivu makali sana.
Yaani muwasho nikijikuna napata maumivu.
Nikienda kukojoa sasa hapo ndipo kasheshe maana ule mkojo ukipita pale kwenye muwasho nahisi kama nachanwa na wembe.
Na sasa hv imefikia hatua mpaka kinembe kinawasha sana, yaani najikuna sana.
Nilikuwa mtumiaji mkubwa wa Condoms hizi za ZANA....je, huenda ndio zimesababisha tatizo?
Pole sana mkuu. Umemuona daktari yeye amesemaje? Umepima UTI sugu?Habarini Madaktari na wafamasia wa humu Jukwaa la Afya.
Nina changamoto moja imejitokeza ni kama miezi 4 au 5 imepita.
Kwanza nilipata muwasho mkali sana huku ukeni, kisha nikaja ona vipele vidogovidogo vimetokeza.
Ule muwasho nikawa naukuna lakini mwisho wa siku palepale nilipojikuna napata maumivu makali sana.
Yaani muwasho nikijikuna napata maumivu.
Nikienda kukojoa sasa hapo ndipo kasheshe maana ule mkojo ukipita pale kwenye muwasho nahisi kama nachanwa na wembe.
Na sasa hv imefikia hatua mpaka kinembe kinawasha sana, yaani najikuna sana.
Nilikuwa mtumiaji mkubwa wa Condoms hizi za ZANA....je, huenda ndio zimesababisha tatizo?