MSAADA: Kupata muwasho, vijipele hatimaye maumivu makali kwenye kuta za uke mpaka kwenye kinena

Maji yoyote,ilimradi tu uwe na hulka ya kufanya hivyo mara kwa mara.Unakuwa saaafi na hupati hata kamuwasho.Halafu usitumie sijui matube unapaka ndo unanyoa HAPANA, tumia tu shaver Hayo makitu yana kemikali
Sawa tamuuuuu , nimekuelewa mpenzi
 
Yes, yaani najikuna hatari.
Muwasho unakuwa mtamu ila mwisho wake ni maumivu makali
 
Ni matokeo ya sherehe za sikukuu ya xmass, pole na wahi hospitali

Jf haichukui nafasi ya daktari!
 
Pole sana,
hiyo ni fungas,


tafuta dawa yoyote ya fangas ya kupaka ndani ya siku mbili au tatu tatizo litakua limeisha ila jitahidi upake walau kwa siku zisizopungua 5 kila baadaa ya kuoga 🐒
Lumumba Kumbe Kuna kozi ya afya.
Mitano Tena.
Mama atosha kuongoza muhula mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…