Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadam mkijuana huwa kuna mawili kati ya haya hutokea kushuka thamani sana au kupanda thamani kutokana na utakayoyakuta kwa mwenzako hapo ndio upendo wa kweli unadhihilika wengi huwa wanashindwa pale unapojua mwanaume uliyemtamani siku zote ni 5mns au mwanamke uliyempenda sana kumbe ni mwenye roho ya hatari
Kipendacho rohoDaah aisee ningekua ni mimi asingenibabaisha mwanamke wa hivi
Lakin zilla mbona alinenepa mashavu jamani halaf kuna kipindi kama alichizika alihojiwa akawa anaongea mambo hayaelewekiKweli duniani Limbwata lipo nimeamini,
Yaani huyu demu mbovu hivi ndo wa kumdatisha Msela mpaka kavuta??
Sidhani kama huyu Nigga amefariki kwa ajili ya dem.... nadhani alikuwa na tatizo kubwa sana la kiafyait's a shame a gangsta rapper's death is entirely due to a love affair
rest in extraterrestial
Lbda hajawahi kupigwa chini[emoji23] [emoji23]
Yale yale ya "Nyie hamjui tu yani!" huku ndugu na raia wote hawamuelewi mkeo!Kweli duniani Limbwata lipo nimeamini,
Yaani huyu demu mbovu hivi ndo wa kumdatisha Msela mpaka kavuta??
Achana na Akili za Wacongo, akili zao Alizikwa nazo Patrice Lumumba. Watanzania tutabaki na ukarimu wetu daimaSijapost R.I.P Zilla kwa sababu sijawahi kupost ngoma yake, sijawahi kumuwish birthday, hakuwa rafiki yangu ingawa alikuwa msanii mwenzangu, kwanini leo itokee amefariki ndio nipost R.I. P !? Roho inanisuta”. - Ameyasema hayo Christian Bella.
aka kadada kapo Clouds na Classic fm (Dee Andy ), ana sura mbovu ma+mae, ata kumpigia puchu inaitaji moyo
Lakin eti ndio kamdatisha mchizi,aka kadada kapo Clouds na Classic fm (Dee Andy ), ana sura mbovu ma+mae, ata kumpigia puchu inaitaji moyo