Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu manzi mwenyewe wakawaida tuWale waliokuwa wanaulizia picha ya Doreen wakae mkao wa kula sasa...
Maana mtamuona kwenye msiba akilia saaanaaaaaa mpaka kuzirai
R.I.P mzee wa salasala!!!
Afadhali kifo cha kupitiliza ukiwa usingizini, kifo chenyewe ni mateso tosha sasa imagine yaongezeke na maumivu mengine ya moto[emoji22]Presha ilishuka na sukari ilipanda chanzo cha kifo chake, muacheni apumzike kwa amani msianze kuchokonoa angalau safari yake ameimaliza tena very peaceful hatujui sisi tutakufaje,
Kifo cha kutapa tapa kwenye maji,
Kifo cha kuungua na moto,
Kifo cha risasi,
Kifo cha kunyongwa,
Kifo cha kuumwa hadi unatoka mkia,
Kifo cha kugongwa na Scania na kupondeka pondeka,
Kifo, Kifo, Kifo.....
Only God Knows.
Huyu ndo Doreen Andrew? Aliekua mtangazaji wa clouds sio?
Inasemekana ndiyeHuyu ndo Doreen Andrew? Aliekua mtangazaji wa clouds sio?
Ulimchoka wewe[emoji1787][emoji1787][emoji23]...by the way ushammwaga?Mi demu wangu akiniacha ntafanya sherehe. Nitawakusanya washkaji tule pombe mpaka jumatatu alfajiri.
Daah aisee ningekua ni mimi asingenibabaisha mwanamke wa hivi
Huyu mwenye mamiwani kama mchomelea mageti ndie aliyemtia stress mwana
Kwani 50 Cent hawezi kuzimikia Demu mpaka akadata?Huyu jamaa si anamuigaga 0 cent kwnye kila kitu?? mbona amekuwa dissolver kilaini laini ivyo kwa sababu ya vipapuchi tuu!!!!
Kweli duniani Limbwata lipo nimeamini,
Eti kisa GangstarMkuu unamaanisha 50 akipigwa chni na demu huwa haoni shida ku move on ?