Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambieni atafute Hela huyo mtoto atarud tuMsanii Godzilla anapitia kipindi kigumu sana baada ya kuachana na mpenzi wake Doreen.
Kwa sasa Zilla amekuwa haeleweki anaongea nini na muda mwingi amekuwa anaongea mwenyewe na au kujifungia ndani.
Ni dhahiri penzi la Doreen bado analiitaji na anapata mateso mazito sana kuwa na maisha bila Doreen.
Yeyote anaeweza msaidia huyu mnyamwezi atoe msaada haswa wa kisaikolojia. Kazi ya muziki imekuwa haiendi kwa kifupi amedata.
Note: Wanaume mapenzi hayana ubaunsa wala ubabe. Ukishikwa kubali umeshikwa la sivyo utapata shida sana.
![]()
![]()
![]()
you are da best my ladySi unaniambiaga au unanipaka mafuta kwa mgongk wa chupa?
Tupe ubuyu vip alifumaniwamshenzi acha achanganyikiwe dada wa watu alimpenda akajifanya playboy akaleta ujinga acha aisome namba Doreen usigeuke nyuma kwa uyu
Demu anamshobokea kisenge George bantu
Salasala kumekua kama jela ya keko au ukonga
Hahaaaaaaa hatari kumbe anatoka na Mzee wa kicheko cha jioniDemu anamshobokea kisenge George bantu
Hii haina jinsia hata mwanamke inategemea ulikuwa unampenda kiasi gani mwanaume wako!!!Kumbe mapenzi hayana ugumu.
Na mwanaume akiachwa na kuteseka kwenye mapenz anakuaga kama chizi.
Hakuna kitu kizuri kama kuwa na mdada dizaini ya Doreen yaani anajua vitu vingi na ni MTU wa furaha DAT I want from my girl sio unakuwa na demu kama flani lakini anajua watu wa bongo movie tu huo ujuhaAnajua yeye alichokuwa anakifurahia kwa huyo dada, acheni mapenzi yaitwe mapenzi
Kwani Godzilla hana Hela??? Godzilla msanii mkubwa kabisa wa mainstreamYote kukosa pesa. Ukiwa huna kitu maumivu ya mapenzi. Yanauma mara 70.... Angekuwa bado ana heat...asingeumia sn
Mzee Zillah ana fake life kivip....hakuna cha demu wala nini,kinamdatisha kivuli chake tu!
..ndo shida ya kuishi fake life,
.maamae!
Hana pesa.....hakuna mwanaume mwenye pesa...anayekuwa chizi kwa sababu ya mwanamke... Kwnz ukiwa na pesa mwanamke anahangaika yeyeKwani Godzilla hana Hela??? Godzilla msanii mkubwa kabisa wa mainstream
Hahaaa!!!!Hana pesa.....hakuna mwanaume mwenye pesa...anayekuwa chizi kwa sababu ya mwanamke... Kwnz ukiwa na pesa mwanamke anahangaika yeye
..sio wewe... Stress za maisha... Ukichanganya na za mapenzi...jibu ni KUJINYONGA...tuwenae MAKINI
Yaa..mkuu...ukiwa na pesa automatically mwanamke hakusumbuwi...wewe ukiona JAMAA ana pesa na bado mwanamke anamsumbuwa.. Aisee.. Huyo jamaa ana matatizo makubwa tu....tena ya KIBAMIA..sio bure...na akina dada wakishajuwa tu BALANCE HAISOMI vzr...anaanza VIROJA....dawa yake huyo Godzila ni kutoa ngoma mpya tu... Tena iwe [emoji91]... Utaona km bibie hajarudi...Hahaaa!!!!
Hahaa,!!! Naamin Godzilla nae atakua anasoma huu uziYaa..mkuu...ukiwa na pesa automatically mwanamke hakusumbuwi...wewe ukiona JAMAA ana pesa na bado mwanamke anamsumbuwa.. Aisee.. Huyo jamaa ana matatizo makubwa tu....tena ya KIBAMIA..sio bure...na akina dada wakishajuwa tu BALANCE HAISOMI vzr...anaanza VIROJA....dawa yake huyo Godzila ni kutoa ngoma mpya tu... Tena iwe [emoji91]... Utaona km bibie hajarudi...
Yaa...dawa ya mapenzi ni uwezo on [emoji91] tu..sababu ukiwa na pesa mwanamke anajuwa muda wowote utamwacha na kupata mkali kuliko yeye...ww jiulize hata kwa mganga wateja wao asilimia 90 ni wanawake.. Na hao wanawake 90% ya matatizo yao ni mapenzi..kuhusu kupendwa na wanaume... Sasa jiulize anayerogwa pale ni mwanaume wa aina gani?sio wale wanaombwa 4000 mwezi mzima tunasumbuwa..mara umezima simu....mara hupokei simu zake.kisa 4000 tu...ni wale wanaume... Mwanamke akisema tu hata laki... Muda huo huo anapewa..kwhyo wanaorogwa ni wale wenye uwezo..hivyo utakubaliana na mm kwamba PESA ndy uchawi wa mwanamke..Hahaa,!!! Naamin Godzilla nae atakua anasoma huu uzi
Kuachwa ni bora kuliko kuacha,,,wanaoacha weng hua wanafeli tofauti na anaeachwa