Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaaa wat about yule uliyemzimikia sana. Kwa hili unadanganyahamna kuna wengine huwa tunafanya hadi sherehe.
ni udhaifu wake tu huyu
Ahhahaaaaa wanaume mna mioyo migumu sana kny mapenzi.Simlaumu huyo jamaa kufall kwa huyo manzi.
Kama kuna jamaa alijiua kisa Ufoo Saro sishangai.
hahahaaAhahaaa wat about yule uliyemzimikia sana. Kwa hili unadanganya
Aisee mpe pole.Ahhahaaaaa wanaume mna mioyo migumu sana kny mapenzi.
Mimi ndugu yangu katoka kulizwa jana
Unatishia eeeeh. Ngojea [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahaa
unadhani ukiniacha ntaanza kupost ujinga hapa jf, mi sio zilla
ila ole wako uniache[emoji379]
hahahaUnatishia eeeeh. Ngojea [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ahahaaaaa itakua na wewe ni mmoja wapo mlioenda kwa kina zilla. Mapenzi yanarun dunia au siohahaha
kwa kweli mi stakubali, ila sita andika mambo ya ajab twitter waka jf.
sasa Zillah mpaka watu inebid waende kwa mama ake awasaide kumtuliza si mchezo
hahahahaAhahaaaaa itakua na wewe ni mmoja wapo mlioenda kwa kina zilla. Mapenzi yanarun dunia au sio
Washkaji watasaidia tu.hahahaha
mie sija entertine udhaifu huo kabsa.
sasa bora Zillah mama ake ako hapa hapa Dar, we ukinifanyia hivo na unajua mama angu alipo mpaka watu wapande mabas wakamfuate si tabu hiyo jaman!
Demu wako Mbaya.Mi demu wangu akiniacha ntafanya sherehe. Nitawakusanya washkaji tule pombe mpaka jumatatu alfajiri.
ki ukweli unaweza kuumia kwa mapenzi lakin ku loose kabisa kana bwana zillah kwa mtoto wa kiume haitakiwi unajikaza kisabu unaumia ndani kwa ndaniWashkaji watasaidia tu.
Lkn hayo mambo hayana mwenyewe especially kwa wanaume. Km mtu hajalia mwanzo atalia mbeleni
Ukijikaza kwa ndani ndo mwanzo wa kupata pressure bora useme tu upate relief [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ki ukweli unaweza kuumia kwa mapenzi lakin ku loose kabisa kana bwana zillah kwa mtoto wa kiume haitakiwi unajikaza kisabu unaumia ndani kwa ndani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Doreen wa mond?mbona demu mwenyewe mbaya sana hana Nyuma wala mbele
hapanaUkijikaza kwa ndani ndo mwanzo wa kupata pressure bora useme tu upate relief [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Labda mambo ya kitandani ni hatari sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ki ukweli huyu hakutakiwa awe mtu wa kumsumbua ndugu Zillah.
yesLabda mambo ya kitandani ni hatari sana