Msaada kwa Godzilla, ana hali mbaya

Msaada kwa Godzilla, ana hali mbaya

ama kweli kila shetani na mbuyu wake. one man's meat could be another man's poison.........
 
eti Dem mwenyewe mbaya!unakijua kilichomfanya adate?huwez kuielewa situation ya Zilla Kama hujawahi kukutana nayo,hakuna u gangster kwenye mapenzi.Jambaz anaua ila akiwa kwa Dem wake anakua mpole zaid ya kondoo.Zilla anahitaji ushaur WA kisaikolojia Na aww Na watu WA kupiga nao stor Na sio kuanza kumbeza.omba yasikukute!
 
Back
Top Bottom