Msaada kwa Godzilla, ana hali mbaya

Msaada kwa Godzilla, ana hali mbaya

kingzilla we love yo voice moja ya ya mictar yake namkubali san
 
Mapenzi bhaana!!!!!
Sitaki hata niyasemee, maana eti yana run dunia.
Hilo ndo tatizo la kupenda kupindukia, siku ukitendwa unaonekana kituko MJINI.
Mungu nisimamie, maana hakuna linalokushinda.
Pole brother Zilla, Mzee wa Salasala
 
Kumbe mapenzi hayana ugumu.

Na mwanaume akiachwa na kuteseka kwenye mapenz anakuaga kama chizi.

asikwambie mtu!!
ndo maana mi nikajaga kujua HAILIPI KABISA KUA MTU MZURI!
just be a naughty, playboy, live life and DO NOT EVER COMMIT!
mkijua mtu kaweka ma kila kitu yake hapo ndo mnafanya msengerema kabisa.
nilijuta kujifanya Romeo na kutaraji ye awe Julieth.
again, HAILIPI KABISA KUA 'MKAKA MZURI'!!
 
17819004_1905266539754262_7337849585382981632_n.jpg
17818974_938351772933860_920406247377731584_n(1).jpg
17818974_938351772933860_920406247377731584_n.jpg
17818159_1850468445206762_45960788631879680_n.jpg
17817945_1292440887538279_3529235645723574272_n.jpg
17817653_203436983489713_4112115527298580480_n.jpg
17663220_275355832910790_5305738212176560128_n.jpg
17662494_1364986326921788_167694313717760000_n.jpg
17819135_1872303596378822_5645126639575629824_n.jpg
17587143_1248964838533715_2112607517124067328_n.jpg
17586919_273556576389667_2504065611169005568_n.jpg
17494432_847082165429983_7619870237688594432_n.jpg
11201537_513692665454608_1932104704_a.jpg
Baada ya Godzilla kuonekana wazi kwa sasa dish limeyumba na anapo elekea litadondoka kabisa kama hatua za haraka zisipo chukuliwa ikiwa ni kumpeleka kwa madaktari wa saikolojia basi itakuwa historia.....
Wapo walio wai kusema kuwa love is mental illiness na sasa mifano imeanza kuonekana.

Godzilla dish lilianza kuyumba baada ya kuachwa bila taarifa na huyu mwana dada anayejulikana kama Doreen lakini hadi sasa Godzilla hataki kukubali kabisa kama ameachwa hivyo kupelekea dish kuanza kuyumba....
Hapa chini ndio muhusika...
 
Kumbe huyu jamaa ni mwepesi sana....he is not a gangstar....he is a little baby mama....nimesikitika sana....kwenye rules za maganster....rule number one......says dont fall in love with a bitch.....just fu.ck them...
 
Huyu atakuwa na stress zake anaona asingizie ni demu mbona manzi mwenyewe wakawaida sana
 
Back
Top Bottom