Msaada kwa Godzilla, ana hali mbaya

Msaada kwa Godzilla, ana hali mbaya

Eti mtaani wanaishi kama maninja....................
 
kuna shangingi moja linapenda wasanii lilishaniambia huyo Godzilla michezo yake kama kina kibakuli na mr misifa kupenda kula tigo,nahisi huyo demu atakuwa analiwa ndogo ndo maana jamaa linalia ,limemiss kiboga
Unataka kunambia kidoti alikuwa anachezea tigo
 
Msanii Godzilla anapitia kipindi kigumu sana baada ya kuachana na mpenzi wake Doreen.

Kwa sasa Zilla amekuwa haeleweki anaongea nini na muda mwingi amekuwa anaongea mwenyewe na au kujifungia ndani.

Ni dhahiri penzi la Doreen bado analiitaji na anapata mateso mazito sana kuwa na maisha bila Doreen.

Yeyote anaeweza msaidia huyu mnyamwezi atoe msaada haswa wa kisaikolojia. Kazi ya muziki imekuwa haiendi kwa kifupi amedata.

Note: Wanaume mapenzi hayana ubaunsa wala ubabe. Ukishikwa kubali umeshikwa la sivyo utapata shida sana.

2594d458150686f201e6548f4226b2b5.jpg


edf6224b4976193d91f1deb4cb264a9a.jpg


fb9bbea0fba6bfea66d35e670d1abd71.jpg
Mkuu inaonesha wewe ni mtu wake wa karibu, basi ungempa msaada
 
Arudie chaka lake la zamani pale chuo aliposoma Cbe alafu aache ujinga aka klie ile sup moja na Mungu ambariki[emoji100] [emoji97] [emoji42]
 
Mkuu inaonesha wewe ni mtu wake wa karibu, basi ungempa msaada
Mdogo wetu huyo niliwahi mshauri namna anavyodili na mainstream akazingua mpk kuniunfollow . But kuna watu wameenda kuongea na bi mkubwa wake namna ya kumsaidia nimeskia vijiweni. Maybe atakaa sawa.
 
Mdogo wetu huyo niliwahi mshauri namna anavyodili na mainstream akazingua mpk kuniunfollow . But kuna watu wameenda kuongea na bi mkubwa wake namna ya kumsaidia nimeskia vijiweni. Maybe atakaa sawa.
Ni kweli jamaa nilikutana nae juzi kati katoka kununua mkate dukani, hakuwa sawa kabisa, nilishangaa kwanza kapungua kinoma swagga zote kushnei

Ukweli jamaa hana ujanja wowote kwa watoto wazuri, unaweza sema labda ni hip hop ila ni udomo zege tuu, sasa kwa love aliyopewa na mtt lazima adate
 
Back
Top Bottom