data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Hahahaa... 50....!!!hili neno botj lina maana gani ndugu zangu,
uzungu mwingi hadi basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa... 50....!!!hili neno botj lina maana gani ndugu zangu,
uzungu mwingi hadi basi
Kuelewa kunaendana na muda, may be siyo muda wako wa kuelewa mkuu! Subiri muda ufike utaelewaSijaelewa kitu,pengine inahitaji uwezo wa kibashite tu kuelewa hizo tweets zake.
Duuh povu la nn mkuu!!STRESS ZA KUPIGWA KIBUTI MBAYA SANA....AJIKAZE KIUME TU HAMNA NAMNA
Ukizingua dakika 2 washakuchinja [emoji23] [emoji23] [emoji23]Eti mtaani wanaishi kama maninja....................
Unataka kunambia kidoti alikuwa anachezea tigokuna shangingi moja linapenda wasanii lilishaniambia huyo Godzilla michezo yake kama kina kibakuli na mr misifa kupenda kula tigo,nahisi huyo demu atakuwa analiwa ndogo ndo maana jamaa linalia ,limemiss kiboga
Mkuu inaonesha wewe ni mtu wake wa karibu, basi ungempa msaadaMsanii Godzilla anapitia kipindi kigumu sana baada ya kuachana na mpenzi wake Doreen.
Kwa sasa Zilla amekuwa haeleweki anaongea nini na muda mwingi amekuwa anaongea mwenyewe na au kujifungia ndani.
Ni dhahiri penzi la Doreen bado analiitaji na anapata mateso mazito sana kuwa na maisha bila Doreen.
Yeyote anaeweza msaidia huyu mnyamwezi atoe msaada haswa wa kisaikolojia. Kazi ya muziki imekuwa haiendi kwa kifupi amedata.
Note: Wanaume mapenzi hayana ubaunsa wala ubabe. Ukishikwa kubali umeshikwa la sivyo utapata shida sana.
![]()
![]()
![]()
pigia mstariUnataka kunambia kidoti alikuwa anachezea tigo
we jamaa ndo ulimwanzishiaga thread ya kumponda Kuwa jamaa hana swaga na nakweli jamaa kaachwa swaga hana na pesaHana kiki kwa sasa anadhani atapendwa ??
Mdogo wetu huyo niliwahi mshauri namna anavyodili na mainstream akazingua mpk kuniunfollow . But kuna watu wameenda kuongea na bi mkubwa wake namna ya kumsaidia nimeskia vijiweni. Maybe atakaa sawa.Mkuu inaonesha wewe ni mtu wake wa karibu, basi ungempa msaada
Why unamwita mtoa roho?Doreen gani?yule mtoa roho walisoma nae neema trust?
Halafu...kesho unakuta anatoka na dogo Janja......Bongo balaaaaa..........Mxiuuuuuuuuuu nilijua wa maana kumbe.ndo huyu mbovu hivi
Alikuwa anapiga watu vibuti mbayaWhy unamwita mtoa roho?
Ni kweli jamaa nilikutana nae juzi kati katoka kununua mkate dukani, hakuwa sawa kabisa, nilishangaa kwanza kapungua kinoma swagga zote kushneiMdogo wetu huyo niliwahi mshauri namna anavyodili na mainstream akazingua mpk kuniunfollow . But kuna watu wameenda kuongea na bi mkubwa wake namna ya kumsaidia nimeskia vijiweni. Maybe atakaa sawa.