Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,316
Sijui kwanini macho yangu kitu cha kwanza kuthaminisha kwa mwanamke ni mkia a.k.a chura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Demu Mwenyewe Kibungo..
wakaida kwako...yeye anaona ana muhitaji sanaHuyu atakuwa na stress zake anaona asingizie ni demu mbona manzi mwenyewe wakawaida sana
hahahahahahaama kweli kila shetani na mbuyu wake. one man's meat could be another man's poison.........
mahaba ni hatariAnajua yeye alichokuwa anakifurahia kwa huyo dada, acheni mapenzi yaitwe mapenzi
fetty yupi?Duuuh bora ingekuwa fety ningemsaidiaa kuomba msamahaa
Anajua yeye alichokuwa anakifurahia kwa huyo dada, acheni mapenzi yaitwe mapenzi
Teh teh.........duh kweli mapenzi upofu
Aliyekuwa xxl yulefetty yupi?
Nimekuelewa sanawakaida kwako...yeye anaona ana muhitaji sana
hamna kuna wengine huwa tunafanya hadi sherehe.Kumbe mapenzi hayana ugumu.
Na mwanaume akiachwa na kuteseka kwenye mapenz anakuaga kama chizi.
yaan mwanangi demu ni wa gred za kawaida kabsaMbona demu mwenyewe wa kawaida sana