Msaada kwa Godzilla, ana hali mbaya

Msaada kwa Godzilla, ana hali mbaya

mbona dem mwenyewe wakawaida sana,Hata magotini hanifikii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....
hivi huyo zilla hajui kuwa hamuwezi kuishi milele
Ukute kuna other factors amezipenda achilia mbali hizo za nje ulizoziona kwenye picha
 
yes
halaf wabaya wanakuwaga na sweet walls bro, and they care alot.

sasa hapo akiondoka halaf wewe unatoa mchozi, ndio sisi tunakushangaa wewe na wewe unatushangaa sisi
Hahha una kuwa huambiliki wala husikii la kuambiwa
 
yes
halaf wabaya wanakuwaga na sweet walls bro, and they care alot.

sasa hapo akiondoka halaf wewe unatoa mchozi, ndio sisi tunakushangaa wewe na wewe unatushangaa sisi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbona mimi mzuri na niko hivyo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbona mimi mzuri na niko hivyo
nikweli uko hivo ukijilinganisha na wazuri wenzio.
ila wabaya lazima wanakushinda, ukisha jichanganya uingie kwa mbaya hutoki, they are treating nen like kings.
 
nikweli uko hivo ukijilinganisha na wazuri wenzio.
ila wabaya lazima wanakushinda, ukisha jichanganya uingie kwa mbaya hutoki, they are treating nen like kings.
Beauty is in the eyes of the beholder.
Niko vzr na i treat my man like a King
 
Back
Top Bottom