marlingo msakaa
Member
- Nov 19, 2016
- 41
- 31
Haeleweki anaongea kitu gani labda waliostressika wenzie wamemuelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha wengi wanaoacha ni kwamba tayar wameshafeli kwenye sekta ya moja wapo kati yenu ninyi wawili,,aidha umeshindwa kumuelewa mwenzako na njia pekee ukaona ni kumuacha. Ila anaeachwa mara nying anapata bahat kubwa ya kufanikiwa sababu hajafeli. Lazma tukumbuke hatujazaliwa kua perfect,,tumezaliwa kua real.(halisia)kinachotutesa sana ni kuutafita uhalisi wetu wenyewe ,ukijielewa uhalisia wako huwez kupata shida,maana utakua unajielewa.Ebu fafanua argument yako mkuu, wengine tupo kwnye process za kuacha.
Tuwekee picha zao buana ili tuone kama kuchizika kwake ni hakiMsanii Godzilla anapitia kipindi kigumu sana baada ya kuachana na mpenzi wake Doreen.
Kwa sasa Zilla amekuwa haeleweki anaongea nini na muda mwingi amekuwa anaongea mwenyewe na au kujifungia ndani.
Ni dhahiri penzi la Doreen bado analiitaji na anapata mateso mazito sana kuwa na maisha bila Doreen.
Yeyote anaeweza msaidia huyu mnyamwezi atoe msaada haswa wa kisaikolojia. Kazi ya muziki imekuwa haiendi kwa kifupi amedata.
Note: Wanaume mapenzi hayana ubaunsa wala ubabe. Ukishikwa kubali umeshikwa la sivyo utapata shida sana.
![]()
![]()
![]()
Wanaume hamna kupiga moyo konde. Na hua mna mentallity ya kupenda once. Eti ukishatendwa kupendi tena.Ukipenda hakuna cha mwanaume
Wala mwanamke choz ltatoka tu
Ana ustaa gani huyo mtoto anaonekana hata kuoga vizuri hajajuAIla kakuzd ustaa
Tutake radhiHuyo anawakilisha wanaume wa Dar pia.
Ustaa gani akati simjui ndo kwanza namwona hapa[emoji23]Ila kakuzd ustaa
Una experience na hilo suala la kupenda once ?Wanaume hamna kupiga moyo konde. Na hua mna mentallity ya kupenda once. Eti ukishatendwa kupendi tena.
Mimi sina moyo wa kupenda once. Ila nimeona wakaka wengi wakizingua kwenye current relationships kwa kisingizio kua walipendaga mara moja tu. Kwahiyo wanakua vicheche kwa kisingizio cha maumivuUna experience na hilo suala la kupenda once ?
Kuna ukweli nadhaniMimi sina moyo wa kupenda once. Ila nimeona wakaka wengi wakizingua kwenye current relationships kwa kisingizio kua walipendaga mara moja tu. Kwahiyo wanakua vicheche kwa kisingizio cha maumivu
mkuu hiyo picha uloweka naomba niunganishe nae kama ni mtu unaemfaham pleaseZilla ananiuzi kuongea kingereza kwenye kipindi
Ni ndugu ya mshana jr kakamkuu hiyo picha uloweka naomba niunganishe nae kama ni mtu unaemfaham please
sura kama kibatariHivi sio mzuri??
Duuuuuuh you made my day comrade wanguHuyu jamaa si anamuigaga 0 cent kwnye kila kitu?? mbona amekuwa dissolver kilaini laini ivyo kwa sababu ya vipapuchi tuu!!!!
Huwa haeleweki kiingereza chake anajifanya mnyamwezi anapitiliza! Kumbe ni stress dahNimemu-unfollow Jana baada ya kushindwa kuelewa tweets zake. Sikujua alikuwa na matatizo