MkuluTess
Senior Member
- Jan 15, 2018
- 110
- 90
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mama Saby hivi kunenepa mashavu huwa inaweza kuwa ni dalili ya kuelekea siku za kufa?? Niko serious ujueLakin zilla mbona alinenepa mashavu jamani halaf kuna kipindi kama alichizika alihojiwa akawa anaongea mambo hayaeleweki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mzuri kwa anayempenda na kuvutiwa naye.
TAARIFA RASMI ZA MSIBA WA GODZILLA (Golden Jacob Mbunda) KIFO: (Kutoka kwa Familia) Godzilla aliugua ghafla majuzi kwa kulalamika anaumwa tumbo na kutapika. Alienda kwenye Zahanati ya jirani na kwao, akagundulika ana Malaria. Wakati ameanza matibabu aliendelea kutapika, na kutokula vizuri, hii ikachangia Sukari kupanda na BP kushuka. Mnamo juzi usiku hali ilibadilika ghafla na wanafamilia wakamkimbiza hospitali ya Lugalo, ambapo ndio alifariki
Kwenye Bold mnazidi kutuchanganya...kwa mujibu wa dada yake Zilla anasema jamaa kafia nyumbani tena mikononi mwa huyo dada yake...."Mama akaniambia mdogo ako anakuita kabla sijaenda chumbani kwake yeye akawahi kutoka akaja kwangu nikamuuliza vipi akasema naomba tu nilale pembeni yako,naona kuna watu wengi sana wanaizunguka nyumba wanataka kunichukua,ghafla Zilla akawa anataka kutoka nje,mimi na Mama tukamshika tukimwambia lala hapa kwanza upumzike,basi akalala kama mtu alieishiwa nguvu ndo ikawa moja kwa moja hakuamka tena alifia mikononi mwangu tukampeleka lugalo akiwa tayari ashakufa'' mwisho wa Kunukuu
Sijapost R.I.P Zilla kwa sababu sijawahi kupost ngoma yake, sijawahi kumuwish birthday, hakuwa rafiki yangu ingawa alikuwa msanii mwenzangu, kwanini leo itokee amefariki ndio nipost R.I. P !? Roho inanisuta”. - Ameyasema hayo Christian Bella.
Noted mkuuHuyu jamaa si anamuigaga 0 cent kwnye kila kitu?? mbona amekuwa dissolver kilaini laini ivyo kwa sababu ya vipapuchi tuu!!!!