SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Umeipata baada yap kuwana mtu kimapenzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UTI ikichachamaa utasema Bora ungekua na HIV fukuto lake si unaliona lakini km umewekwa kwenye tanuruNdo hapo wakat Niko vizur Sina HIV
Fanya hvo kaka...Hapa nimeshakuntwa lita2 tangu saa tatu
Baada ya ndio kukulalia Wewe kwa juu ukamwachia na yeye ahangaike nayoUmeipata baada yap kuwana mtu kimapenzi?
Silalagwi kimavi mavi na vitoto vichafu . Halafu humu sijaona wakuwa naye nyie ndio mnawashwa na vimeo vya humu vimikindi vyenu vinasha mkiwaona wametoa mada zao . Mie ninakaa nawatu wenye kujitambua .so nikome kapopolewe mk wako huko unazzxcshaBaada ya ndio kukulalia Wewe kwa juu ukamwachia na yeye ahangaike nayo
inategemea na mahali ulipo ndugu.Hospital kubwa kama ipi
Kwa Sasa Niko dar es salaam ntakua kwa muda wa siku7inategemea na mahali ulipo ndugu.
unaweza kwenda moja kati ya; rabininsia hospital/saifee hospital/tmj hospital/regency hospital/kairuki hospital/aga khan hospital.K
Kwa Sasa Niko dar es salaam ntakua kwa muda wa siku7
Atafute na Mirinda Orange au Fanta Orange km 4Fanya hvo kaka...
Hata kama usiponishukuru baadae ila utanishukuru tuu...
Wewe yunikiflawa Wewe wakunitupia Mimi hayo maelezo unanikandia Mimi wewe unasahau kwamba una-deal na cyber space securitySilalagwi kimavi mavi na vitoto vichafu . Halafu humu sijaona wakuwa naye nyie ndio mnawashwa na vimeo vya humu vimikindi vyenu vinasha mkiwaona wametoa mada zao . Mie ninakaa nawatu wenye kujitambua .so nikome kapopolewe mk wako huko unazzxcsha
Maji maji majiPOLE SANA
KUNYWA MAJI YASIZIDI LTR 2.5 KWA SIKU
2.CHUKUA BOMBA ZA MAPAPAI SIJUI KAMA UNAELEWA ZILE ZINASHIKILIA.MAJAN
KATAKATA VPANDE
CHEMSHA LTR 3 KUNYWA KAMA MAJI
CHUKUA LTR 1 WEKA MCHAICHAI NA MDALASINI
CHEMSHA
KUNYWA
SIKU TANO NIPE KAPIME
Masana hospt ..lugalo.mloganzira zote nzuriunaweza kwenda moja kati ya; rabininsia hospital/saifee hospital/tmj hospital/regency hospital/kairuki hospital/aga khan hospital.
Mwambie tu uwezo wake wa kwenda kukojoa ndio kupona.Kosa lako kwenda kupima...
Wee ungetulia ungekunywa maji meengiiii kwisha habari yake....
Nashangaa sana mtu akisema anaumwa UTI
Kweli kabisa mkuu wala sio uwongo hili mimi sikupingi kabisa aiseeee...Mwambie tu uwezo wake wa kwenda kukojoa ndio kupona.
Wakuu kabla ya kulala na mwanamke kunyweni maji na baada ya tendo hakikisha unakojoa mkojo.
Hahhaaaaaaaaaa pale kawe kuna bsr moja wanavitoto vzuri wanaitwa mku......bukuUlikula vitoto vya buku bee chama dry nini? Cipro ni dawa ya Typhoid.
Kabisa Mkuu.Kweli kabisa mkuu wala sio uwongo hili mimi sikupingi kabisa aiseeee...
Maji ya kutosha kuna wengine hapa hayo mambo yatakuwa yanatupitia kwa mbali
Hapa naonana na daktar anaehusika na ninunaweza kwenda moja kati ya; rabininsia hospital/saifee hospital/tmj hospital/regency hospital/kairuki hospital/aga khan hospital.
PqpuchiiiHapa naonana na daktar anaehusika na nin