sheriff john brown
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 717
- 714
Ni pombe ya asili,hapa Wagogo wanatengenezea mtama na Asali,mjini wamegundua wanaweka na amila,usipokula vizuri mishavu hiyo kama pulizo!Hivi kangala ni jina la pombe mahususi? Kikoje hicho kinywaji?. Mi nilidhani kangala ni jina jumuishi la pombe za asili kama vile gongo, kyindi, komoni, kimpumu, ikyambi, ulanzi, mbege, wanzuki nk.
Mtafutie uvumba WA manemane achome na nyingine awe anatia kwenye maji na kunywa.Ni jamaa yangu..kila siku nipo naye kijiweni.
Ila mikono inatetemeka na anashindwa kusaini na kusahihisha madaftali.
Ipi tiba yake?
Mwajiri anahusikaje na mtetemo!Kwani mwajiri wake anasemaje?
Tiba yake ni kuacha pombe mkuu. Mshauri aache pombe mikono yake itatulia.Ni jamaa yangu..kila siku nipo naye kijiweni.
Ila mikono inatetemeka na anashindwa kusaini na kusahihisha madaftali.
Ipi tiba yake?
Nilipoona umetaja kuwa hawezi kuandika nikjua issue ni vipi atapona alinde kibarua chake. Usingetaja carrier yake nisingekuwa na haja ya kutaka kujua mwajiri wake anasemaje.Mwajiri anahusikaje na mtetemo!
Asipokunywa hapati usingiziTiba yake ni kuacha pombe mkuu. Mshauri aache pombe mikono yake itatulia.
Wa kiumeWakike au wakiume
Basi atafute dawa ya kuacha pombe.Asipokunywa hapati usingizi
Haipo hiyo dawaBasi atafute dawa ya kuacha pombe.
Mwambie pombe ni haramuNi jamaa yangu..kila siku nipo naye kijiweni.
Ila mikono inatetemeka na anashindwa kusaini na kusahihisha madaftali.
Ipi tiba yake?
Tiba ni kutompeleka huko kijiweniNi jamaa yangu..kila siku nipo naye kijiweni.
Ila mikono inatetemeka na anashindwa kusaini na kusahihisha madaftali.
Ipi tiba yake?
AsaMtu kama huyo keshazoea kunywa visungura hadi anazima,huwezi kumrudisha kwenye serengeti light.