Msaada kwa wenye uelewa kuhusu fomu za mapunjo za NSSF

Msaada kwa wenye uelewa kuhusu fomu za mapunjo za NSSF

Zero Competition

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
347
Reaction score
553
Heshima kwenu waungwana

Naomba kujuzwa kwa wenye ufahamu

Hivi mtu anapojaza fomu ya mapunjo kwaajili ya kuchukua michango yake ambayo awali ilikuwa haijawekwa na mwajiri wake je kunakuwa na mzunguko sana katika kujaza hiyo fomu au Kuna unafuu wa ujazaji tofauti na mtu anaenza kujaza fomu za madai kwa mara ya kwanza?

Na kitu kingine ambacho ningependa kufahamu, je kunakua na Ile nenda rudi nenda rudi kama ya awali au anaejaza hii fomu ya mapunjo Kuna baadhi ya usumbufu anakua ameepukana nao ?

Nitangulize shukrani kwa watakaonisaidia majibu ya hayo maswali yangu
 
Heshima kwenu waungwana

Naomba kujuzwa kwa wenye ufahamu

Hivi mtu anapojaza fomu ya mapunjo kwaajili ya kuchukua michango yake ambayo awali ilikuwa haijawekwa na mwajiri wake je kunakuwa na mzunguko sana katika kujaza hiyo fomu au Kuna unafuu wa ujazaji tofauti na mtu anaenza kujaza fomu za madai kwa mara ya kwanza?

Na kitu kingine ambacho ningependa kufahamu, je kunakua na Ile nenda rudi nenda rudi kama ya awali au anaejaza hii fomu ya mapunjo Kuna baadhi ya usumbufu anakua ameepukana nao ?

Nitangulize shukrani kwa watakaonisaidia majibu ya hayo maswali yangu
Salama, katika hili mimi nijuavyo ni kwamba yule anaedai Mapunjo yake nssf anatakiwa kuhakikisha kile kiasi anachokidai kiwe kimeingizwa kupitia uchangiaji wake, baada ya hapo ataandika barua ya mapunjo katika ofisi husika baada ya hapo Mapunjo yake ayapata ili aendelee na mitikasi yake.
 
Salama, katika hili mimi nijuavyo ni kwamba yule anaedai Mapunjo yake nssf anatakiwa kuhakikisha kile kiasi anachokidai kiwe kimeingizwa kupitia uchangiaji wake, baada ya hapo ataandika barua ya mapunjo katika ofisi husika baada ya hapo Mapunjo yake ayapata ili aendelee na mitikasi yake.
Asante sana

Ila naomba nikuulizie kitu cha mwisho

Huwa inachukua muda gani mpaka kupata malipo yako au ni sawa tu na mtu alieenda kujaza fomu za madai kwa mara ya kwanza ?
 
Asante sana

Ila naomba nikuulizie kitu cha mwisho

Huwa inachukua muda gani mpaka kupata malipo yako au ni sawa tu na mtu alieenda kujaza fomu za madai kwa mara ya kwanza ?
Kwa uelewa wangu endapo mtu huyo atakuwa ameingiziwa michango yake, mapunjo yake yataingia katika kipindi cha mwezi mmoja, ila unaweza wacheki kwenye mitandao yao ya kijamii pia wapo fasta watakuhudumia
 
Kwa uelewa wangu endapo mtu huyo atakuwa ameingiziwa michango yake, mapunjo yake yataingia katika kipindi cha mwezi mmoja, ila unaweza wacheki kwenye mitandao yao ya kijamii pia wapo fasta watakuhudumia
Nami ninauliza hapo hapo kwenye Mapunjo ,mfano miye Nimechukua 33.3% kwa muda wa miezi sita ,kwa Sasa imepita miezi 3.Je ninaweza kwenda Nssf Kudai Mapunjo yaliyobaki.?Msaada
 
Kwa uelewa wangu endapo mtu huyo atakuwa ameingiziwa michango yake, mapunjo yake yataingia katika kipindi cha mwezi mmoja, ila unaweza wacheki kwenye mitandao yao ya kijamii pia wapo fasta watakuhudumia
Asante sana 🙏
 
Back
Top Bottom