Msaada kwa wenye uelewa wa haya masuala

Msaada kwa wenye uelewa wa haya masuala

Nyamalapa

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
211
Reaction score
469
Habari za muda huu

Naomba kuuliza kwa wetu wenye uelewa wa haya masuala

Inapotokea nimeajiriwa na kampuni ya kigeni ambayo mfano ipo Uganda kisha ikafungua tawi lingine hapa Tanzania na kuendesha shughuli zake.

Ikitokea kampuni ikashindwa kujiendesha baada ya muda fulani na kupelekea kufungwa wakati huo kuna madeni ya watumishi ya NSSF na makato ya bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu, je ni wapi napaswa kuanzia ili niweze kulipwa stahiki zangu ?

Au ndo inakua imekula kwangu ?

Naomba kwa wale ambao tu wapo na uelewa wa haya mambo mana sio jambo la mzaha
 
Hakikisha una barua ya kuachishwa kazi na kampuni husika alafu peleka hiyo barua ofisi ya nssf kudai mafao yako
 
Hakikisha una barua ya kuachishwa kazi na kampuni husika alafu peleka hiyo barua ofisi ya nssf kudai mafao yako
Sawa hilo nalitambua



Na vipi kuhusu michango ambayo mwajiri alinikata kwenye mshahara wangu lakini hajapeleka NSSF na Bodi ya mikopo ?

Mfano labda NSSF nilitakiwa jumla niwekewe milioni 20 lakini kapeleka milioni 10 peke yake ?
 
Hakikisha una barua ya kuachishwa kazi na kampuni husika alafu peleka hiyo barua ofisi ya nssf kudai mafao yako
kabla alikuwa anahakikisha mwajiri wake anaingiza pesa nssf?

au tu aende kugombana nao kisa tu inaitwa nssf.
 
Sawa hilo nalitambua



Na vipi kuhusu michango ambayo mwajiri alinikata kwenye mshahara wangu lakini hajapeleka NSSF na Bodi ya mikopo ?

Mfano labda NSSF nilitakiwa jumla niwekewe milioni 20 lakini kapeleka milioni 10 peke yake ?
😄😄😄😄 poleeee huko nssf usiwalaumu kwa kile watakachokupa hata ikiwa 2000. kosa ni mwajiri wako.
 
Sawa hilo nalitambua



Na vipi kuhusu michango ambayo mwajiri alinikata kwenye mshahara wangu lakini hajapeleka NSSF na Bodi ya mikopo ?

Mfano labda NSSF nilitakiwa jumla niwekewe milioni 20 lakini kapeleka milioni 10 peke yake ?
Nenda mahakamani ukamfungulie kesi ya madai
 
Kama una nyaraka zote halali, kuanzia mkataba, barua ya kusitisha ajira, makato ya kila mwezi; waandikie hao wapokeaji kama walipokea hiyo michango. Hizo taasisi zinaweza kuibana hiyo kampuni kwa kudai chao na mambo mengine yakaendelea
 
Habari za muda huu

Naomba kuuliza kwa wetu wenye uelewa wa haya masuala

Inapotokea nimeajiriwa na kampuni ya kigeni ambayo mfano ipo Uganda kisha ikafungua tawi lingine hapa Tanzania na kuendesha shughuli zake.

Ikitokea kampuni ikashindwa kujiendesha baada ya muda fulani na kupelekea kufungwa wakati huo kuna madeni ya watumishi ya NSSF na makato ya bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu, je ni wapi napaswa kuanzia ili niweze kulipwa stahiki zangu ?

Au ndo inakua imekula kwangu ?

Naomba kwa wale ambao tu wapo na uelewa wa haya mambo mana sio jambo la mzaha
Unaachia maafisa wa NSSF kitengo cha complience au cha security kufuatilia michango yako na the rest of employees , mwajiri wako hana pakukumbilia michango itaingizwa kwenye account zenu accordingly
 
Unaachia maafisa wa NSSF kitengo cha complience au cha security kufuatilia michango yako na the rest of employees , mwajiri wako hana pakukumbilia michango itaingizwa kwenye account zenu accordingly
Shukrani sana ndugu yangu 🙏
 
Kama una nyaraka zote halali, kuanzia mkataba, barua ya kusitisha ajira, makato ya kila mwezi; waandikie hao wapokeaji kama walipokea hiyo michango. Hizo taasisi zinaweza kuibana hiyo kampuni kwa kudai chao na mambo mengine yakaendelea
Asante sana kwa ushauri wako 🙏
 
Back
Top Bottom