Japokuwa heading Yako na content ni vitu fofauti.
Umejaribu kutumia akili mnemba ?ukapata majibu.
Pia hao ulio wataja hawaingizi maneno, bali wanaingiza sauti, kwenye video.
Softwares zote za ku edits videos zinafanya hicho kitu (voice over).
Unatakiwa uwe na microphone, computer.