Msaada: Laini yangu imefungiwa kwa kufanya hivi

Msaada: Laini yangu imefungiwa kwa kufanya hivi

Wanama

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
277
Reaction score
319
Habarini wana JamiiForums,

Niende moja kwa moja kwenye mada yangu.

Mnamo wiki uliyopita hii nilipokea meseji kutoka kwa namba ngeni nisiyoitambua(tapeli),sms yenyewe ilikuwa ikinieleza kumtafta mganga Sanga ambaye ni mtaalamu wa dawa za jadi na ikaweka namba za mganga Sanga.

Baada ya sms iyo kunifikia Mimi nilimrudishia iyo iyo sms alontumia uyo tapeli kwenye namba ake iyo Kisha nikaachana nae.
Sasa kesho yake napata Taarifa kuwa laini yangu pamoja na Namba zangu za NIDA zimefungwa kutokana na kufanya utapeli/udanganyifu.

Sasa sielewei process ya kufatilia na kufungua Lain na kitambulisho changu kinaanzia wapi. Je,Ni NIDA,polisi,ama TCRA au Niende kwa Makao Makuu ya Mtandao husika?
 
Nimejifunza, kuhusu kupelekwa Selo ndo bdo nawaza nikienda kuripoti japo ushahidi wa sms waliyonitumia pamoja na nilimrudishia bado upo ila Nchi yetu haieleweki hii Wanaweza kunigeukia Mimi.
Kilichotokea ni namba yako imewasiliana na namba nyingine iliyowai kuripotiwa kuwa ni tapeli, (outomatic imejifunga) utaratibu ni ule ule, chukua kitambulisho chako cha nida, nenda ofisi za mtandao unaotumia wakufungulie line yako maisha yaendelee.

Kinyume kabisa na unavyofikiria, usipoenda kuifungua ndo shida zaidi" kwani itaonekana kitambulisho kile kile cha kwako (tapeli) ndo kimetumika tena kusajili line nyingine baada ya line ya kwanza kufungiwa.

Ondoa shaka kbs kwani hata wao (tigo) hawajui kbs inshu ya line yako kufungiwa, ukiwa na vielelezo hawana sababu ya kukataa kuifungua.
 
Tafuta lain nyingine haya mambo hayaeleweki unaweza jikuta noti zinakutoka + muda
Nilienda kusajili lain nyingne pia kitambulisho changu Kimezuiliwa kufanya usahi
Kilichotokea ni namba yako imewasiliana na namba nyingine iliyowai kuripotiwa kuwa ni tapeli, (outomatic imejifunga) utaratibu ni ule ule, chukua kitambulisho chako cha nida, nenda ofisi za mtandao unaotumia wakufungulie line yako maisha yaendelee.

Kinyume kabisa na unavyofikiria, usipoenda kuifungua ndo shida zaidi" kwani itaonekana kitambulisho kile kile cha kwako (tapeli) ndo kimetumika tena kusajili line nyingine baada ya line ya kwanza kufungiwa.

Ondoa shaka kbs kwani hata wao (tigo) hawajui kbs inshu ya line yako kufungiwa, ukiwa na vielelezo hawana sababu ya kukataa kuifungua.
Shukrani kwa ushauri ila kumbuka mpk kitambulisho changu Kimezuiliwa kufanya usajili Aina yoyote
 
Nimejifunza, kuhusu kupelekwa Selo ndo bdo nawaza nikienda kuripoti japo ushahidi wa sms waliyonitumia pamoja na nilimrudishia bado upo ila Nchi yetu haieleweki hii Wanaweza kunigeukia Mimi.
Lazima ile kwako kwa nn hukutoa taarifa tcra??
Kila siku wanatoa matangazo ripot namba za kitapeli ile zifungiwe sasa wewe jamaa amekuwahi kwa hiyo wewe ndiyo tapeli sasa
 
mtuhumiwa anapowahi POLISI....... 😂 😂 😂 ,,,,Ukijichanganya lazima zikutoke.........matapeli wakikutumia lolote lile...... waambie asante mpenzi rose/amina/tabu....au binti maringo......ishia hapo.......
 
Lazima ile kwako kwa nn hukutoa taarifa tcra??
Kila siku wanatoa matangazo ripot namba za kitapeli ile zifungiwe sasa wewe jamaa amekuwahi kwa hiyo wewe ndiyo tapeli sasa
Sasa ndo nkienda kutaka kufunguliwa lain na kitambulisho changu ntakamatwa Kama Mimi ndiye tapeli au maelezo yangu na kielelezo Cha sms ya kitapeli nlotumiwa itasaidia?? (make bdo nina conversation nlizofanya nae)
 
Back
Top Bottom