Msaada: Laini yangu imefungiwa kwa kufanya hivi

Msaada: Laini yangu imefungiwa kwa kufanya hivi

Apa najutia tu makosa yangu ngja njipange apa njilipue tu niende Kama kunikamata Basi iwe ivyo
Mkuu uliishaenda?

Halafu jambo usilolijua laweza kukutia hofu bure!

Ninavyoelewa mie, unafika kwenye ofisi za mitandao ya simu na shida hiyo inatanzuliwa dirishani ndani ya dk1.

Just kutoa maelezo mafupi ya "nifungulie nilifungiwa".
 
Hapan sikumpigia nilimrudishia tu iyo sms alintumia mimi
Mrejesho?

Ulienda polisi, ulienda NIDA kuomba kitambulisho kingine?

Ulikubaliwa kusajili namba zingine?

Namba yako ya mwanzo uliifungua
 
Habarini wana JamiiForums,

Niende moja kwa moja kwenye mada yangu.

Mnamo wiki uliyopita hii nilipokea meseji kutoka kwa namba ngeni nisiyoitambua(tapeli),sms yenyewe ilikuwa ikinieleza kumtafta mganga Sanga ambaye ni mtaalamu wa dawa za jadi na ikaweka namba za mganga Sanga.

Baada ya sms iyo kunifikia Mimi nilimrudishia iyo iyo sms alontumia uyo tapeli kwenye namba ake iyo Kisha nikaachana nae.
Sasa kesho yake napata Taarifa kuwa laini yangu pamoja na Namba zangu za NIDA zimefungwa kutokana na kufanya utapeli/udanganyifu.

Sasa sielewei process ya kufatilia na kufungua Lain na kitambulisho changu kinaanzia wapi. Je,Ni NIDA,polisi,ama TCRA au Niende kwa Makao Makuu ya Mtandao husika?
Ukienda unanyakwa.Kwakuwa line unayo piga kimya ,achana nayo
 
Sawa sipo hapa kubishana na wewe
Fanya kile unachojisikia
Hawa akina Kingai,Mahita na Jumanne na division IV zao hawatakupa muda wa kuonesha hizo meseji.Meseji zitafutwa na utapachikwa kwenye kesi ya ugaidi na utatajwa kuitwa Komandoo Moses Lijenje.Hapo Tena hata kama ni Mataga Itabidi tumuombe bwana Wakili msomi Peter mwana wa Kibatala aje kuokoa jahazi
 
Msg inapoingia kwako huwa na tarehe na muda ulitumiwa unapoirudisha huwa tarehe na muda kama tarehe ni hiyohiyo basi muda zitapishana nenda polisI Katoe taarifa Baada ya hapo nenda ofisi ya mtandao husika
hapo ni kwamba kawahiwa na tapeli,alichofanya kosa ni kumjibu tapeli kwa msg yake ya utapeli,tapeli akamuwahi kuripoti TCRA ndii maana akafungiwa
 
Habarini wana JamiiForums,

Niende moja kwa moja kwenye mada yangu.

Mnamo wiki uliyopita hii nilipokea meseji kutoka kwa namba ngeni nisiyoitambua(tapeli),sms yenyewe ilikuwa ikinieleza kumtafta mganga Sanga ambaye ni mtaalamu wa dawa za jadi na ikaweka namba za mganga Sanga.

Baada ya sms iyo kunifikia Mimi nilimrudishia iyo iyo sms alontumia uyo tapeli kwenye namba ake iyo Kisha nikaachana nae.
Sasa kesho yake napata Taarifa kuwa laini yangu pamoja na Namba zangu za NIDA zimefungwa kutokana na kufanya utapeli/udanganyifu.

Sasa sielewei process ya kufatilia na kufungua Lain na kitambulisho changu kinaanzia wapi. Je,Ni NIDA,polisi,ama TCRA au Niende kwa Makao Makuu ya Mtandao husika?
Habari mkuu vipi ulifanikiwa kufungua namba yako ya simu na nida ? Namimi nimepata tatizo Hilo
 
Habarini wana JamiiForums,

Niende moja kwa moja kwenye mada yangu.

Mnamo wiki uliyopita hii nilipokea meseji kutoka kwa namba ngeni nisiyoitambua(tapeli),sms yenyewe ilikuwa ikinieleza kumtafta mganga Sanga ambaye ni mtaalamu wa dawa za jadi na ikaweka namba za mganga Sanga.

Baada ya sms iyo kunifikia Mimi nilimrudishia iyo iyo sms alontumia uyo tapeli kwenye namba ake iyo Kisha nikaachana nae.
Sasa kesho yake napata Taarifa kuwa laini yangu pamoja na Namba zangu za NIDA zimefungwa kutokana na kufanya utapeli/udanganyifu.

Sasa sielewei process ya kufatilia na kufungua Lain na kitambulisho changu kinaanzia wapi. Je,Ni NIDA,polisi,ama TCRA au Niende kwa Makao Makuu ya Mtandao husika?
Alichofanya huyo tapeli ni kutuma namba yako TCRA na kuwaambia kuwa namba yako inatumika kutapeli, nao TCRA bila kujiridhisha wakafunga. Ingekuwa imefungwa na matapeli ningekuelekeza jinsi ya kuifungua
 
Back
Top Bottom