Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Nimesajili laini ya Halotel mpya, hii ni baada ya kupoteza laini niliyokuwa nikitumia ambayo haikuwa na matatizo yoyote, ni vile tu nilisajiliwa na mtu ambaye niko mbali naye kwa sasa (Ex)
Laini hii niliyosajili leo haina ufanisi kabisa kwenye suala zima la kimtandao. Yaani ipo very slow kulinganisha na konokono. Nasikia kuna kitu inaitwa kuwezesha laini ya Halotel ili kuendana na simu. Kwa anayefahamu, msaada...
Laini hii niliyosajili leo haina ufanisi kabisa kwenye suala zima la kimtandao. Yaani ipo very slow kulinganisha na konokono. Nasikia kuna kitu inaitwa kuwezesha laini ya Halotel ili kuendana na simu. Kwa anayefahamu, msaada...