Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
kiukweli nyumba kubwa ina utamu wakeAsante Sana kwa ushauri kiongozi.Nilikadiria tofali 3000 HIV na msingi nitatumiwa mawe.
Kuhusu kujenga nitaenda kwa phases.Kiukweli napenda nyumba yenye space ya Kutosha
Asante kiongozi kwa Muongozo
Asante kwa hamasa na ushauri mkuu.Tutawasiliana bila shaka
kuna watu walisema hiyo ni nyumba au hekalu japo sio kubwa kiivyo sema ukisikiliza sana watu waweza kughairi ujenziAsante Sana Kiongozi.Yaani umeongea right on point.Sina haraka nayo Sana so I will take my time kwa phases.Kikubwa mwisho nipate kilicho Bora na Tamanio la Moyo.Napenda Sana nyumba iliyo na eneo la kutosha.
Big up Mkuu,umeelezea vizuri hadi raha.Wewe ni Engineer?.Nataka nikwambie wazi hii nyumba ni kubwa. Kama haujajipanga kisawa sawa basi ujipange.
Hapo andaa tofali 3,600, nondo za 12mm (makonde) tani moja na nusu, binding wire 10kgs, nondo za 6mm 20, Kokoto lori kubwa za 18m³ mbili, mchanga lori 3 za 18m³ na cement mifuko 300, hapo utakamilisha yote bila plasta na paa.
Kha!kha!, Acha kutisha watu bhana.Ukiwa na sh 114,000,000 umemaliza hilo hekalu.
Kama ni mtumishi usiye na ukikwenga, basi miaka yako isiyopungua 20 utakuwa umemaliza[emoji16][emoji1]
Nipe tathmini Yako pia kiongozi kwa ulivyoona ramani.Nitashukuru sanaBig up Mkuu,umeelezea vizuri hadi raha.Wewe ni Engineer?.
Chukua ALAF mkuuBora finishing unauwezo wa kuifanya taratibu ,ila sio kupaua ni habari nyingine.
Mimi hapo nipo dilema kuchagua kati ya ANDO na ALAF,nimefanya uchunguzi bei zao hazitofautiani sana sema Alaf mkoa ninaokaa inabidi kuwatumia mawakala ambao siwaamini
Sema uhalisia sasa! Na vyovyote atakavyofanya, iwe kujenga kwa kuunga unga au mwanzo-mwisho, 110m haiepukiki!Kha!kha!, Acha kutisha watu bhana.
Hongera Sana Mkuu nakumbuka kweli Uzi wako wa ile nyumba.Big up sanakiukweli nyumba kubwa ina utamu wake
mwanzoni wakati naanza kujenga niliweka ramani yangu humu watu wakanitisha ila namshukuru Mungu kwa sasa nipo kwenye finishing, wewe nenda mdogo mdogo kama huna haraka sana [emoji106]
Hiyo nyumba 16M hatoboi kumaliza boma labda kama anatumia tofali za kuchoma na anajengea udongo baadala ya saruji. Hiyo nyumba msingi peke yake kwa ujenzi standard wa DSM au Dom itakula 10M. Kupandisha pia not less than 10M. So aandae 20M. Otherwise aondoe beamAcha kumtisha hii ni nyumba ya wastan ila sio kubwa kihivyo kama unavyosema ,ingekua kubwa labda kama ingekua na sqm 300 na kuendelea,enewei hapo andaa 16m ,kukamilisha msingi hadi boma kukamilika,ukiona hauezi unaweza kuongea na fundi apunguze ukubwa kidogo wakati wa kuset msingi,ila ikikamilika hivi ilivyo utaenjoy zaidi nyumba itakua na space ya kutosha,sio vile vyumba ambavyo hata kabati ni ngumu kukaa.
Ni kweli kiongozi hapo kwa msingi tu imefikia 12MHiyo nyumba 16M hatoboi kumaliza boma labda kama anatumia tofali za kuchoma na anajengea udongo baadala ya saruji. Hiyo nyumba msingi peke yake kwa ujenzi standard wa DSM au Dom itakula 10M. Kupandisha pia not less than 10M. So aandae 20M. Otherwise aondoe beam
kabisaHatari aisee.Mkwara unatembea si kitoto.Kama anavyoshauri RRONDO kuwa usisubiri mpaka uwe na hela ya Kutosha kikubwa unaanza na ulichonacho
asante mkuu bado napambana japo nilipofika si habaHongera Sana Mkuu nakumbuka kweli Uzi wako wa ile nyumba.Big up sana
Ondoa hilo wazo kuanzia leo moendwa, dirisha kubwa halisave gharama, unapoongeza ukubwa wa dirisha(madirisha makubwa), maana yako unapunguza tofali si ndio, basi ujue unaongeza na gharama za dirisha lenyewe, liwe la mbao ama la kuchomelea ama aluminium, vipimo vikizidi na mpunga unazidi.unatumia za kuchoma au block?
by the way weka madrsha makubwakubwa kusave tofali.
Dirisha kubwa lenyewe ni ghali kuliko tofali ambazo zingejaza hilo eneo.unatumia za kuchoma au block?
by the way weka madrsha makubwakubwa kusave tofali.
Dah!!!, Mkuu mimi sio mtaalamu wa Ujenzi.Nipe tathmini Yako pia kiongozi kwa ulivyoona ramani.Nitashukuru sana
hizi pale alaf zinatenengenezwa kwa order. uko vizuri mkuuNatarajia Mungu akijalia nitumie za ALAF G28
Mkuu ingefaa iwe vyumba vingapi ili iwe na standard nzuri na ya kawaida?.kuu hiyo nyumba ina makona na vi chunba vingine visivyo na umuhimu ongea na fundi apunguze hayo ili anagalao upunguze ukubwa. Hizo nyumba si kwa sisi wabongo labda uijenge kama 2 in one ili upande mmoja uipangishe lakini kwa hiyo mkuu mmh