MSAADA: Mama mkwe amenifungulia kesi ya uharibifu wa Mali

Status
Not open for further replies.
Hizo points kali sana
 
For now i am not ready cz am not stable financially, Siogopi kwasabu namwamini Mungu
Umejibu vyema binti Jovetha. Zingatia hili: Ukishaanza mchezo wa kuolewa na kuachika ni kama kula nyama ya Mtu - Hutakaa uache. yaani Umejitia NUKSI mwenyewe.

Jiepushe MNO na ushauri wa namna hiyo kwa maneno ya kejeli "...hey!! ninachofia nn, bado nauzika mwaya; asinibabaishe; nitaolewa kwingine, na miye nna kwetu... ebo..."

Watakaokuambia hayo ndo haohao kesho watakaokusota kidole na kusema - Tulijua tuu.... heheheee...wenzake tunasota hapa yy anapata bahati ya kuolewa halafu analeta za kuleta.

Shenzi kabisa...
 
Hizo points kali sana
Hawa ni ndugu zetu na wameumbwa kwaajili yetu. Sasa tusipo waambia ukweli lazima wataharibikiwa, and huyu mama hawezi pata msaada wa ndoa/mahusiano kwenye mitandao na badalayake tutajitokeza na kujifanya tunamhurumia kisha tunamkula tu...😕
 
Watu mna moyo
 
Ulishawahi kuwa kwenye situation ya kutaka amani na mtu/watu wao wakawa hawataki kabisa? Acha kucomment kitoto elewa kuwa situation zinatofautiana ya huyu mwadada haifanani na yako acha kumkandamiza mwanamke mwenzetu sababu ya past experience yako.

Kama huyu mwanadada ana makosa wamshtaki kwa kosa alilofanya kama linashitakika kusheria, waache kufabricate case eti ohh amefanya uharibifu wa mali, toka lini kuvunja kitasa cha nyumba yako mwenyewe likawa kosa? Hii tabia ya kutengenezeana vikesi si nzuri.
 
Kibaya zaidi ni kuwa na watoto wa baba tofauti
 
Hawa ni ndugu zetu na wameumbwa kwaajili yetu. Sasa tusipo waambia ukweli lazima wataharibikiwa, and huyu mama hawezi pata msaada wa ndoa/mahusiano kwenye mitandao na badalayake tutajitokeza na kujifanya tunamhurumia kisha tunamkula tu...😕
Sasa mnyambo walivyonyambuka unamwachaje kwa mfano, masipota jovetha!
 
Bitter truth

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…