Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,725
- 1,995
- Thread starter
-
- #101
Dah una hormones chache hebu Anza kula mlenda daily Ute utajaa Hadi kuanza kulowesha chupi Plus kula nyanya chungu na ndizi za kupika kwa sana.
Hafu hyo mayunga nilijua ni dume
Eeehe ndo utajuaa hujuii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu, watoto wa kiume ni wakutunza sana skuizi.
Huyu atakua amehamia kwa akina Cameroon
Mkuu umeamua uweke avatar yako kabsa kumaliza ubishi baada ya kuambiwa wewe ni Manengelo uliyechangamka[emoji2][emoji2]
Kwakweli Mungu awalinde watoto na vijana wote wa kiume, hii sio kabisa.
Half nowdays wanajiachia wazi wazi wenyewe, sjui wanaona sifa
Inasikitisha sana kijana bila simile anakosa ute, na huu ni mwaka wa kumi sasa amejioambanua...[emoji41][emoji3525]
Broo mayunga kipi kimekusibu
Leo ndio nimejua sijui
Mwandiko wake wakiume vilevile Mayunga jina la kiume.Kama ni mwanume kweli basi kwa alivyojieleza hana akili kabisa.
Tuwe na Heshima WanaJF
Katika post yako ya mwanzo, ni wapi uliposema kuwa una post kwa ajili ya mtu mwingine? Umeiweka kana kwamba wewe mwenyewe ndiye mhusika! Mtoto kulitaka, mtoto kulipata.
atafika.Aaaah....! Ndio inavyokuwa?. Halafu?
Tuwasirianeatafika.
AiseeeSasa wewe mayunga na ute wapi na wapi,badili jina na ute utaanza kutoka na kileleni utafika,ukishindwa nitafute
AiseeeSasa wewe mayunga na ute wapi na wapi,badili jina na ute utaanza kutoka na kileleni utafika,ukishindwa nitafute
Mayunga pole kwa maana kizazi cha kukurupuka kinakishambulia bila hata kusoma umeandika nini. Pole japo Inachekesha na Zena ulivyoandika wanakufuata inbox 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dah soma uzi hadi mwisho
Anapotaka msaada ni vizuri kijishusha ili apate anachokihitaji.Mama mwenye familia kweny ajishushe hivo
kuhusu?Tuwasiriane