Msaada: Miaka 10 kwenye ndoa hajawahi kufika kileleni na kupelekea kuchukia tendo

Msaada: Miaka 10 kwenye ndoa hajawahi kufika kileleni na kupelekea kuchukia tendo

Dah una hormones chache hebu Anza kula mlenda daily Ute utajaa Hadi kuanza kulowesha chupi Plus kula nyanya chungu na ndizi za kupika kwa sana.
Hafu hyo mayunga nilijua ni dume

Dah soma uzi hadi mwisho
 
Sasa wewe mayunga na ute wapi na wapi,badili jina na ute utaanza kutoka na kileleni utafika,ukishindwa nitafute
 
Nimecheka Mayunga unashambuliwa na kizazi cha kukurupuka. Mungu atusaidie kwa kweli.
 
Sasa wewe mayunga na ute wapi na wapi,badili jina na ute utaanza kutoka na kileleni utafika,ukishindwa nitafute
Aiseee
Dah soma uzi hadi mwisho
Mayunga pole kwa maana kizazi cha kukurupuka kinakishambulia bila hata kusoma umeandika nini. Pole japo Inachekesha na Zena ulivyoandika wanakufuata inbox 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwambie anitafute nimfundishe kupika vyakula vitakavyomfanya acheke mpka gego la mwisho
 
Back
Top Bottom