Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Ukite hapo ndipo alikuwa ametoka huko kukazwa"Hivi wewe kwa akili zako unafikiri kabisa nitamsahau niliyezaa nae? Mfyuuuu!"
[emoji115][emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukite hapo ndipo alikuwa ametoka huko kukazwa"Hivi wewe kwa akili zako unafikiri kabisa nitamsahau niliyezaa nae? Mfyuuuu!"
[emoji115][emoji15]
Tafuta MWANAMKE au MWANAUME wa nyumbani kwenu uoe au uolewe! Ikibidi omba msaada kwa ndugu zako wa karibu wakutafutie MKE au MUME. Huo sio udhaifu, bali unaonesha UKOMAVU..🙌🏼😂Nimepigwa mno na single mothers ambao niliamini baada ya 'kupigika' tungeyajenga vizuri sana kwa maana wameshayajua maisha, lakini wapi!
Wa kwanza kanipiga, visa havieleweki tu kila siku. Mwishowe tukaamua yaishe.
Wa pili kanipiga, mtoto akikohoa kidogo tu zinaanza safari za 'kwenda kumtibu'. Nikaona nachotaka kufia hapa ni nini?
Huyu wa tatu ndio jana kaniuliza kabisa, huku mdomo akiwa kaupeleka pembeni (ishara ya dharau), "Hivi wewe kwa akili zako unafikiri kabisa nitamsahau niliyezaa nae? Mfyuuuu!"
Nimeondoka nyumbani mpaka sasa sijarudi.
Wadau, wapi anapatikana asiyekuwa na mtoto katika umri huo nijiandae kula nae kikokotoo?
Nimekwama, tusaidiane.
Ahy bhnaAta leo, ni wewe tu 😀
duh kweli maisha yana mbio sanaUkiitaji kuzaa unione 😀
HatariUkite hapo ndipo alikuwa ametoka huko kukazwa
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu. Kwamba kama gari la mkaaNenda bush huko tafuta binti.....uje nae town tena unaenda mburu huko.....unakuja unakula weeeeeeeee akijanjaruka .......unamwacha unatimba tena bush kubeba mwingine...
Yaani unakua kama gari la mkaa wakizengua tu wewe unaenda bush tena
Maisha tu mkuuUlikua wapi.... mbona umechelewa?
Mtafute Sheikh au Paroko atakuunganisha kwenye nyumba yenye mabinti wenye maadili,la sivyo utaendelea kupigwa matukio adi uombe maji.Maisha tu mkuu
Hii game ngumu asikwambie mtu.Nimepigwa mno na single mothers ambao niliamini baada ya 'kupigika' tungeyajenga vizuri sana kwa maana wameshayajua maisha, lakini wapi!
Wa kwanza kanipiga, visa havieleweki tu kila siku. Mwishowe tukaamua yaishe.
Wa pili kanipiga, mtoto akikohoa kidogo tu zinaanza safari za 'kwenda kumtibu'. Nikaona nachotaka kufia hapa ni nini?
Huyu wa tatu ndio jana kaniuliza kabisa, huku mdomo akiwa kaupeleka pembeni (ishara ya dharau), "Hivi wewe kwa akili zako unafikiri kabisa nitamsahau niliyezaa nae? Mfyuuuu!"
Nimeondoka nyumbani mpaka sasa sijarudi.
Wadau, wapi anapatikana asiyekuwa na mtoto katika umri huo nijiandae kula nae kikokotoo?
Nimekwama, tusaidiane.
Umetumia silaha kubwa mno🤣Haina noma
Nakupa ushauri wa kijinga na wa kitoto pia...ukiamua kukataa ndoa kataa ndoa hadi kifo kikutenganishe ili kupunguza stress ukifika 40+ kama mleta mada(na wewe kama ni mmoja wao)
Scolastica,kwa nini umeuliza hivoDuuuuh wewe 'Scola' ni Scolari au Scolastica?