[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jfNenda bush huko tafuta binti.....uje nae town tena unaenda mburu huko.....unakuja unakula weeeeeeeee akijanjaruka .......unamwacha unatimba tena bush kubeba mwingine...
Yaani unakua kama gari la mkaa wakizengua tu wewe unaenda bush tena
Atoe cv yake kwanzaWapo wengi sana,..
Nakazia hapaAtoe cv yake kwanza
Tukumbushane parts za cv tafadhaliAtoe cv yake kwanza
Kuna used cars za Japan, Dubai na Bongoland! Wewe uko category gani?Kama pesa unayo wanapatikana maana hata Mimi bado sijazaaa😆
Kama pesa unayo wanapatikana maana hata Mimi bado sijazaaa[emoji38]
DubaiKuna used cars za Japan, Dubai na Bongoland! Wewe uko category gani?