Msaada: Mimi nmesoma Elimu ya watu wazima na maendeleo ya jamii, hivi Kuna uwezekano wa kubadilishwa kutoka kwenye ualimu nikaenda ustawi wa jamii?

Msaada: Mimi nmesoma Elimu ya watu wazima na maendeleo ya jamii, hivi Kuna uwezekano wa kubadilishwa kutoka kwenye ualimu nikaenda ustawi wa jamii?

Joined
Dec 7, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Naomba msaada plz. Mimi nmesoma Elimu ya watu wazima na maendeleo ya jamii, hivi Kuna uwezekano wa kubadilishiwa muundo kutoka kwenye ualimu nikaenda kufanya kazi Uastawi wa jamii au maendeleo ya jamii? , na je maendeleo ya jamii scale yao ya mshahara ni zaidi ya ualimu? Naomba kueleweshwa kwa mtu mwenye uzoefu
 

Attachments

  • 1733553515462.jpg
    1733553515462.jpg
    215.5 KB · Views: 6
Naomba msaada plz. Mimi nmesoma Elimu ya watu wazima na maendeleo ya jamii, hivi Kuna uwezekano wa kubadilishiwa muundo kutoka kwenye ualimu nikaenda kufanya kazi Uastawi wa jamii au maendeleo ya jamii? , na je maendeleo ya jamii scale yao ya mshahara ni zaidi ya ualimu? Naomba kueleweshwa kwa mtu mwenye uzoefu
Weka wazi ualimu upi ulionao wewe.

Ustawi upi wa jamii unasema mshahara wake upo juu?
 
Naomba msaada plz. Mimi nmesoma Elimu ya watu wazima na maendeleo ya jamii, hivi Kuna uwezekano wa kubadilishiwa muundo kutoka kwenye ualimu nikaenda kufanya kazi Uastawi wa jamii au maendeleo ya jamii? , na je maendeleo ya jamii scale yao ya mshahara ni zaidi ya ualimu? Naomba kueleweshwa kwa mtu mwenye uzoefu
Funguka zaidi Mkuu.
 
Haiwezekani kubadilishiwa muundo Kwa kusoma kada hio.Wewe umesomea ualimu bado ila unaweza kuomba Kwa Mkurugenzi wako au Kwa Mkurugenzi wa elimu Ili ukapige kazi Wilayani upande wa elimu.Pia scale ya mshahara Mwalimu Yuko juu kidogo ila marupurupu Mwalimu kazidiwa.Tofauti yao kama 8000 hivi.
 
Back
Top Bottom