Msaada: Mjamzito kula mende na mijusi

Msaada: Mjamzito kula mende na mijusi

Habarin wanajf
Mke wangu tangu nmemuoa naona maajabu chakula anapika viwili chake na changu chake hataki nikione, nkaamua kumchunguza ankula nin mpk niskione nmekuta anapika Mende na muda mwingine anawabanika na kulia ugali ,
Kila nkimuuliza ankuwa mkali sana sielew nifanye nin.

Jana ndio kanichosha sana amekamata mijusi wawili kawala bila ya kuwapika mbele yangu.
Na sasa ni mjamzito nashindwa hta lakufanya
Naombeni msaada jamn
Itakuwa hata mimba ni ya mende ama mjusi si yako kijana.
 
Habarin wanajf
Mke wangu tangu nmemuoa naona maajabu chakula anapika viwili chake na changu chake hataki nikione, nkaamua kumchunguza ankula nin mpk niskione nmekuta anapika Mende na muda mwingine anawabanika na kulia ugali ,
Kila nkimuuliza ankuwa mkali sana sielew nifanye nin.

Jana ndio kanichosha sana amekamata mijusi wawili kawala bila ya kuwapika mbele yangu.
Na sasa ni mjamzito nashindwa hta lakufanya
Naombeni msaada jamn

Duh, mkuu jihadhari usije ukawa unaishi na jini! Ila lkama ana mimba msamehe na mvumilie tu. Akizaa, hopefully ataacha!
 
Unaishi n'a zombie ipo siku atang'oa mashine yako na kuikaanga ............shauri yako
 
Waasia wanaamini hivo vitu vinamfanya mtoto awe genius, maybe amepewa hiyo habari ndo maana anafanya hayo
 
JARIBU HII DAWA:
=>Kata vipande vidogo vidogo vya mchaichai.
=>Chukua dagaa waliokauka(wakavu).changanya vyote, halafu kaanga ktk mafuta ya kula jikoni, Ale kutwa mara 2 kwa siku 5. Atakuwa amepona ulaji wa vitu vya ajabu ajabu.
 
JARIBU HII DAWA:
=>Kata vipande vidogo vidogo vya mchaichai.
=>Chukua dagaa waliokauka(wakavu).changanya vyote, halafu kaanga ktk mafuta ya kula jikoni, Ale kutwa mara 2 kwa siku 5. Atakuwa amepona ulaji wa vitu vya ajabu ajabu.
Shukran sana mkuu
 
Habarini wana JF,

Mke wangu tangu nimemuoa naona maajabu chakula anapika viwili chake na changu chake hataki nikione, nikaamua kumchunguza anakula nini mpaka nisikione nimekuta anapika mende na muda mwingine anawabanika na kulia ugali,
kila nikimuuliza anakuwa mkali sana sielewi nifanye nini.

Jana ndio kanichosha sana amekamata mijusi wawili kawala bila ya kuwapika mbele yangu.

Na sasa ni mjamzito nashindwa hata la kufanya.

Naombeni msaada
Kwani huyo mke wako hana baba na mama yake?? Umeshawahi kuwauliza kujua kwamba alikua na tabia hiyo toka utotoni?? Na ww ktk kuishi nae kabla hajapata hiyo mimba je alikua anakuficha pia chakula chake au??
 
Kulingana na DSM-IV huyo anatatizo linaitwa ‘Pica’ na kuna form mbalimbali za tatizo hilo.
Mara nyingi tatizo hilo huwapata wajawazto na watoto wadogo, na watu wenye Autism
 
Kitaalamu tunaiita "PICA", lakini mara kwa mara kwenye Pica Mama mjamzito anakula vitu ambavyo havina faida kilishe yaani havina "Nutrients". Sasa mende kilishe ana PROTINI ya kutupa, mijusi wana 64% protini, 10% mafuta, calcium (Kalisi) na majivu.

Mpeleke mkeo Hospitali wakampime damu-FBC,UE, Bones, LFTs, Ferritin na vipimo vingine daktari wake atakavyoamua.

Wadau wanaokula mende wanasema yaani mende ni mtamu kwelikweli hususan yule wa kubanika.
 
Back
Top Bottom