kirikuu.com
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 461
- 526
Itakuwa hata mimba ni ya mende ama mjusi si yako kijana.Habarin wanajf
Mke wangu tangu nmemuoa naona maajabu chakula anapika viwili chake na changu chake hataki nikione, nkaamua kumchunguza ankula nin mpk niskione nmekuta anapika Mende na muda mwingine anawabanika na kulia ugali ,
Kila nkimuuliza ankuwa mkali sana sielew nifanye nin.
Jana ndio kanichosha sana amekamata mijusi wawili kawala bila ya kuwapika mbele yangu.
Na sasa ni mjamzito nashindwa hta lakufanya
Naombeni msaada jamn
Habarin wanajf
Mke wangu tangu nmemuoa naona maajabu chakula anapika viwili chake na changu chake hataki nikione, nkaamua kumchunguza ankula nin mpk niskione nmekuta anapika Mende na muda mwingine anawabanika na kulia ugali ,
Kila nkimuuliza ankuwa mkali sana sielew nifanye nin.
Jana ndio kanichosha sana amekamata mijusi wawili kawala bila ya kuwapika mbele yangu.
Na sasa ni mjamzito nashindwa hta lakufanya
Naombeni msaada jamn
Shukran sana mkuuJARIBU HII DAWA:
=>Kata vipande vidogo vidogo vya mchaichai.
=>Chukua dagaa waliokauka(wakavu).changanya vyote, halafu kaanga ktk mafuta ya kula jikoni, Ale kutwa mara 2 kwa siku 5. Atakuwa amepona ulaji wa vitu vya ajabu ajabu.
Kwani huyo mke wako hana baba na mama yake?? Umeshawahi kuwauliza kujua kwamba alikua na tabia hiyo toka utotoni?? Na ww ktk kuishi nae kabla hajapata hiyo mimba je alikua anakuficha pia chakula chake au??Habarini wana JF,
Mke wangu tangu nimemuoa naona maajabu chakula anapika viwili chake na changu chake hataki nikione, nikaamua kumchunguza anakula nini mpaka nisikione nimekuta anapika mende na muda mwingine anawabanika na kulia ugali,
kila nikimuuliza anakuwa mkali sana sielewi nifanye nini.
Jana ndio kanichosha sana amekamata mijusi wawili kawala bila ya kuwapika mbele yangu.
Na sasa ni mjamzito nashindwa hata la kufanya.
Naombeni msaada