Msaada: Mjamzito kula mende na mijusi

Msaada: Mjamzito kula mende na mijusi

Kitaalamu tunaiita "PICA", lakini mara kwa mara kwenye Pica Mama mjamzito anakula vitu ambavyo havina faida kilishe yaani havina "Nutrients". Sasa mende kilishe ana PROTINI ya kutupa, mijusi wana 64% protini, 10% mafuta, calcium (Kalisi) na majivu.

Mpeleke mkeo Hospitali wakampime damu-FBC,UE, Bones, LFTs, Ferritin na vipimo vingine daktari wake atakavyoamua.

Wadau wanaokula mende wanasema yaani mende ni mtamu kwelikweli hususan yule wa kubanika.
Thanx sana i will work on it ....mungu akubrk
 
Back
Top Bottom