mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
Naona hii wiki ni ya kurukwa ukuta[emoji18][emoji18]
Kila kona leo ni kupakuana visamvu tuπ€’π€’Umenichekesha,Nimekutana na Uzi kama huu somewhere.
Jirani yangu kafikwa na mkasa wa kuhuzunisha. Mkewe alikuwa anapitiapitia sms za simu yake akagundua jamaa ana mchepuko ambao unampa huduma ya "Pandezote" yaani huku kwa bibi na kule kwingine kama bonus.
Sasa huyu mama kawaka sana anataka ndoa ivunjwe wakati huyu jamaa bado anampenda maiwaifu wake.
Sasa jamaa kaniomba ushauri afanyaje kumtuliza bimkubwa wake aache mambo ya kutaka talaka badala yake wafocus kuijenga upya ndoa yao.
Kila kona leo ni kupakuana visamvu tu[emoji1785][emoji1785]
Saidia ushauri mkuu pengine utaokoa ndoa ya jamaaNaona hii wiki ni ya kurukwa ukutaππ
embu tuwasikie wenyewe wanasemajeKujiendekeza tuu mbona kule kwa Bibi kunatumika poa tuu shida ni Bibi afike na Babu afike Juu. Au mimi Ndio mshamba mazee
embu tuwasikie wenyewe wanasemaje
Hakuna cha rafiki yako wala nani. Ni fikra zako tu za kipuuzi unazotuletea ili kupima reactions za watu. Halafu members wenzangu wa jukwaa, threads chafu kama hizi tuwe tunazipiga mawe ili waletaji wakome kabisa.Jirani yangu kafikwa na mkasa wa kuhuzunisha. Mkewe alikuwa anapitiapitia sms za simu yake akagundua jamaa ana mchepuko ambao unampa huduma ya "Pandezote" yaani huku kwa bibi na kule kwingine kama bonus.
Sasa huyu mama kawaka sana anataka ndoa ivunjwe wakati huyu jamaa bado anampenda maiwaifu wake.
Sasa jamaa kaniomba ushauri afanyaje kumtuliza bimkubwa wake aache mambo ya kutaka talaka badala yake wafocus kuijenga upya ndoa yao.
ila vijana wa sikuizi hawatakuelewaKujiendekeza tuu mbona kule kwa Bibi kunatumika poa tuu shida ni Bibi afike na Babu afike Juu. Au mimi Ndio mshamba mazee
Waachane tuSaidia ushauri mkuu pengine utaokoa ndoa ya jamaa
Kuna watu hawana hata uoga sijui kwanini??Naona hii wiki ni ya kurukwa ukutaππ
mkuu ndoivyo, saidia jamaa anatokaje apoMMU saivi kuna nuka vinyesi kila kona. Hizi baridi na mvua ni mwendo wa kutifua mitaro tu.