To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
KabisaNaona hii wiki ni ya kurukwa ukuta😌😌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaNaona hii wiki ni ya kurukwa ukuta😌😌
Yaani watu wapuuzi saana kuchezea v!nye0 ? . Kichwani lazima utakua siyo mzima kabisa.Sahihi kabisa.
Kuna vitu ni bora usijue, yaani mtu achezee mav* huko aje aingize kwenye k yangu. Sio kweli!
Bora iishe tu kwakweliKabisa
Oooh kwaiyo tumlaumu na kumkemea vikali uyo bibie aache kusoma meseji za sim ya baba au sio?Kwanza uyo mwanamke hakufunzwa mkoleni tabia ya kusomasoma mameseji simu ya mme wake iyo mbaya sana juzi kati kuna mwanamke amejiua kwa tabia hizo. Wito kwa wamama wote acheni kuchunguza simu ya mumeo utakufa kwa presha
Yaani achepuke , zaidi awe anamfanya mtu kinyume, huyo ningeachana naye mapema. Unajaziwa mauchafu kwenye K, asubirie kansa ya huko chini.Umeongea ujinga
Huyo mwanaume hawezi kuacha hiyo mitabia yake michafu. Hata wakiyaongea hatoacha
Kisheria hairuhusiwi. Wanakupa barua unaenda mahakamani maana hawana mamlaka ya kuvunja ndoaNaam, Kiislam hiyo inaitwa "khuluu".
Uislam ulimpa haki mwanamke miaka zaidi ya 1,400 nyuma ambazo mwanamke asiye Muislam hazioti mpaka leo hii.
Uislam ni mwema sana.
Inaambukizwa vizuri, maana vimelea vinatoka kwenye kinyesi.UTI haiambukizwi
Nikijua tu, naenda kuomba talakaSahihi kabisa.
Kuna vitu ni bora usijue, yaani mtu achezee mav* huko aje aingize kwenye k yangu. Sio kweli!
Unaongelea nani "wanakupa barua"?Kisheria hairuhusiwi. Wanakupa barua unaenda mahakamani maana hawana mamlaka ya kuvunja ndoa
Unaenda Bakwata, mimi nilifanya hiyo process ya kuomba talaka, nikarudisha mahari lakini wakaniambia hawawezi kuvunja maana hawana mamlaka. Ikabidi wanipe barua kwenda mahakamani.Unaongelea nani "wanakupa barua"?
🤣🤣🤣🤣🤣MMU saivi kuna nuka vinyesi kila kona. Hizi baridi na mvua ni mwendo wa kutifua mitaro tu.