Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na wewe unarukwa ukuta? Ndio nimejua leoNaona hii wiki ni ya kurukwa ukuta😌😌
😆😆😆🤪MMU saivi kuna nuka vinyesi kila kona. Hizi baridi na mvua ni mwendo wa kutifua mitaro tu.
😆😆😆 Visamvu vya kopo au?Kila kona leo ni kupakuana visamvu tu🤢🤢
Nae amjaribishe.....Jirani yangu kafikwa na mkasa wa kuhuzunisha. Mkewe alikuwa anapitiapitia sms za simu yake akagundua jamaa ana mchepuko ambao unampa huduma ya "Pandezote" yaani huku kwa bibi na kule kwingine kama bonus.
Sasa huyu mama kawaka sana anataka ndoa ivunjwe wakati huyu jamaa bado anampenda maiwaifu wake.
Sasa jamaa kaniomba ushauri afanyaje kumtuliza bimkubwa wake aache mambo ya kutaka talaka badala yake wafocus kuijenga upya ndoa yao.
Sahihi kabisa.Huyo jamaa akajenge ndoa na mchepuko wake.
The man is innocentUmeongea ujinga
Huyo mwanaume hawezi kuacha hiyo mitabia yake michafu. Hata wakiyaongea hatoacha
yesu na maria, ni nini hii?kwa hiyo wivu wake ni kuwa kwanini hajaliwa yeye TIGO ama?
Wanajua namna ya kumaliza wenyewe, waache watu na mambo yaoJirani yangu kafikwa na mkasa wa kuhuzunisha. Mkewe alikuwa anapitiapitia sms za simu yake akagundua jamaa ana mchepuko ambao unampa huduma ya "Pandezote" yaani huku kwa bibi na kule kwingine kama bonus.
Sasa huyu mama kawaka sana anataka ndoa ivunjwe wakati huyu jamaa bado anampenda maiwaifu wake.
Sasa jamaa kaniomba ushauri afanyaje kumtuliza bimkubwa wake aache mambo ya kutaka talaka badala yake wafocus kuijenga upya ndoa yao.
are you serious? Mtu hawezi kumpenda mkewe na kumheshimu halafu awe na mchepuko, NEVER!!!!!!Jirani yangu kafikwa na mkasa wa kuhuzunisha. Mkewe alikuwa anapitiapitia sms za simu yake akagundua jamaa ana mchepuko ambao unampa huduma ya "Pandezote" yaani huku kwa bibi na kule kwingine kama bonus.
Sasa huyu mama kawaka sana anataka ndoa ivunjwe wakati huyu jamaa bado anampenda maiwaifu wake.
Sasa jamaa kaniomba ushauri afanyaje kumtuliza bimkubwa wake aache mambo ya kutaka talaka badala yake wafocus kuijenga upya ndoa yao.
mkuu itakuwa umekosea kutype au👀??Nae amjaribishe.....
Asikuambie mtu hapo ni kwerekweche,mtu kapewa uzazi wa mpango lazima adateJirani yangu kafikwa na mkasa wa kuhuzunisha. Mkewe alikuwa anapitiapitia sms za simu yake akagundua jamaa ana mchepuko ambao unampa huduma ya "Pandezote" yaani huku kwa bibi na kule kwingine kama bonus.
Sasa huyu mama kawaka sana anataka ndoa ivunjwe wakati huyu jamaa bado anampenda maiwaifu wake.
Sasa jamaa kaniomba ushauri afanyaje kumtuliza bimkubwa wake aache mambo ya kutaka talaka badala yake wafocus kuijenga upya ndoa yao.
Kweli nimekosea....dah.mkuu itakuwa umekosea kutype au👀??
Baki hivyo hivyo siku utakayogundua mkeo au mpenzi wako anapakuliwa ndio utakapojua kuwa walinwengu si watu