Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Ni kweli 😌na ulinzi wako zaid pia. Vijana wako curious sana..kujarib jarib
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli 😌na ulinzi wako zaid pia. Vijana wako curious sana..kujarib jarib
vp mkuu upo maliwatoni au?nackia harufu ya kinyes
Hebu mlete hapa huyo mkalimani atueleze vizuri maana inawezekana hujafikisha vizuri ujumbe labda kuna maneno umeyaacha🤣🤣kumradhi wakuu
nilitoka kidogo kwenda kwa mkalimani wangu ninayemwamini kuulizia tafsiri sahihi ya huu ung'eng'e uliowekwa hapa na mdau Demi maana sisi wengine tulisomea chini ya minazi.
mkalimali kasema eti huyo bimkubwa anaambiwa aache uji.nga na yeye atoe, tena atoe kwa viwango vilevile kama vya kule au ikiwezekana viwe zaidi.
na kama akiona jamaa anagomagoma basi amtegeshee hadi ajikute tu mwenyewe yupo ndani anarahaika! na kama jamaa akiendelea kukataa basi asisite kumng'ata maana hii ishakuwa ishu ya kufa na kupona.
akaongezea eti bimkubwa anaonywa aache ukurumbembe wa kupekuapekua simu ya baba kwani hajafundwa kuwa simu ya baba ni rasmi kwa matumizi ya baba pekee na ile ya mama ndo ya familia!
apa nimechoka hoi wakuu😌
vp mkuu imekuwaje tena?Vijana mmewaka na weekend bado mbichi kabisa
weka chanzo mkuuWanasema mtu aliezoea kufirwwa/ kufirra hawezi acha kirahisi nikama wanakua addicted!
So sad!
Baki hivyo hivyo siku utakayogundua mkeo au mpenzi wako anapakuliwa ndio utakapojua kuwa walinwengu si watuKujiendekeza tuu mbona kule kwa Bibi kunatumika poa tuu shida ni Bibi afike na Babu afike Juu. Au mimi Ndio mshamba mazee
UTI haiambukizwiHizi ndoa za miaka hii zinatisha!! Hapo mke anasumbuka kujitibu mayutiayi yasiyoisha kumbe mume anafanya vitu vya hovyo [emoji57]
Huyo mwanamke aondoke kabla na yeye hajafanyiwa uharibifu mxiewwww!!!
Watu na matopeni kama yanga..... tope kama tope....
Duh hii connection inataka kunipita.. Siwezi kukubali naipata wapiNimechukulia mfano wa hao mabinti wadogo wanaorekodi😃😃, kwa umri huu sidhani kama nahitaji hadi msukumo wa wazazi
Mbona kama sielewi😂🤣Bado vishawishi ni vingi sana
Huelewi nini sa7 mchana😃😃Mbona kama sielewi😂🤣
Kwa hiyoo mkewee awe anatibu mayutiyai yasiyoishaa si ndioo...izo segedansi zingine anafanya na mchepuko uko nje sio mkewe
si ilikubaliwa watakuwa pamoja kwa shida na raha au sie wengine ndo hatujaelewa?Kwa hiyoo mkewee awe anatibu mayutiyai yasiyoishaa si ndioo...
😁😁na ulinzi wako zaid pia. Vijana wako curious sana..kujarib jarib