FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Naam, Kiislam hiyo inaitwa "khuluu".duuh mke naye anatoa talaka?🤔
Uislam ulimpa haki mwanamke miaka zaidi ya 1,400 nyuma ambazo mwanamke asiye Muislam hazioti mpaka leo hii.
Uislam ni mwema sana.